PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Baada ya kusoma kipade hiki katika gazeti la Mwananchi
Hata hivyo, mwenzake Joseph Ludovick ambaye wanashtakiwa pamoja, alikwama kupata dhamana baada ya wadhamini wake kushindwa kuwa na vielelezo vyenye vigezo kulingana na masharti ya dhamana.
Baada ya kuweka nukuu hiyo mimi kama mwana CHADEMA kindakindaki naomba kuwatahadharisha viongozi wa chadema makao makuu kuwa hakuna kosa kumbwa watakalo lifanya kama kumtelekeza LUDOVICK mahabusu.
Kuna kauli nilibahatika kuisikia kutoka kwa baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM ya kwamba hakunakitu wanakisubiri kwa hamu kuu kamahicho na endapo kikitokea,hapo ndipo watakapo timiza lengo lao na watahakikisha wanamtoa mahabusu kwa njia yoyote ile ili awasaidia kazi zao.
Wanajamvi na wana chama wa chadema kauli hii bado naendelea kuifatilia ili kujua nini kinaendelea.
Pia napenda kuwaambia viongozi wangu kuwa endapo hili likifanikiwa hatutakuwa na mahali pa kuficha nyuso zetu, chama chetu kitachafuliwa kabisa, mimi kama mwana chama nisingependa hilo litokee kwasababu litamaliza muda wetu mwingi kama wanachama kwa kukitetea na kukisafisha chama badala ya kupigania yaliyo na maana mbele yetu kama rasimu ya katiba mpya.
hata kama amekisababishia chama matatizo ni wajibu wetu kuambatana nae na sasa tumpatie kazi ya kukishafisha chama kwa maana yeye ndiye anaefahamu mchezo mzima ulivyokuwa.
NARUDIA TENA KUWAOMBA VIONGOZI WA CHADEMA MAKAO MAKUU MSIMTLEKEZE JOSEPH LUDOVICK RWEKEZA MAHABUSU KWANI LITAKIGHARIMU CHAMA.
baada ya kusema hayo naomba kuwasilisha.
Hata hivyo, mwenzake Joseph Ludovick ambaye wanashtakiwa pamoja, alikwama kupata dhamana baada ya wadhamini wake kushindwa kuwa na vielelezo vyenye vigezo kulingana na masharti ya dhamana.
Baada ya kuweka nukuu hiyo mimi kama mwana CHADEMA kindakindaki naomba kuwatahadharisha viongozi wa chadema makao makuu kuwa hakuna kosa kumbwa watakalo lifanya kama kumtelekeza LUDOVICK mahabusu.
Kuna kauli nilibahatika kuisikia kutoka kwa baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM ya kwamba hakunakitu wanakisubiri kwa hamu kuu kamahicho na endapo kikitokea,hapo ndipo watakapo timiza lengo lao na watahakikisha wanamtoa mahabusu kwa njia yoyote ile ili awasaidia kazi zao.
Wanajamvi na wana chama wa chadema kauli hii bado naendelea kuifatilia ili kujua nini kinaendelea.
Pia napenda kuwaambia viongozi wangu kuwa endapo hili likifanikiwa hatutakuwa na mahali pa kuficha nyuso zetu, chama chetu kitachafuliwa kabisa, mimi kama mwana chama nisingependa hilo litokee kwasababu litamaliza muda wetu mwingi kama wanachama kwa kukitetea na kukisafisha chama badala ya kupigania yaliyo na maana mbele yetu kama rasimu ya katiba mpya.
hata kama amekisababishia chama matatizo ni wajibu wetu kuambatana nae na sasa tumpatie kazi ya kukishafisha chama kwa maana yeye ndiye anaefahamu mchezo mzima ulivyokuwa.
NARUDIA TENA KUWAOMBA VIONGOZI WA CHADEMA MAKAO MAKUU MSIMTLEKEZE JOSEPH LUDOVICK RWEKEZA MAHABUSU KWANI LITAKIGHARIMU CHAMA.
baada ya kusema hayo naomba kuwasilisha.