kesi itaendelea tarehe 24. 6..
Wametoa sababu gani za kuahirishwa kwa kesi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kesi itaendelea tarehe 24. 6..
Sasa mke tena? si nilisikia hawara yake ndie mwenye mimba? au ndio mimba double?
achana nae huyo mkuu,maana inaonekana kati ya yoote ulotujuza kwa akili yake amepima na kuona hilo la mimba na hawara ndo lina tija,baadala ya kujadili facts in issue. anataka ku divate minds za watu huyo....unajua taratibu za ndoa..umeolewa?
Wewe una mtindio wa ubongoSasa mke tena? si nilisikia hawara yake ndie mwenye mimba? au ndio mimba double?
sasa mke tena? Si nilisikia hawara yake ndie mwenye mimba? Au ndio mimba double?
Sasa mke tena? si nilisikia hawara yake ndie mwenye mimba? au ndio mimba double?
Ndugu unafikiri hapo kuna cha kesi hapo hilo liko wazi kwamba kesi hii ni ya kupikwa na kwa sababu ni ya kupikwa hakuna linaloshangaza!! Unaweza hata siku moja ukasikia lazima jalada lao lisainiwe na raisi hata kama sivyo inavyokuwaga.Mpaka kero..anapitia jalada.... siku zote alikuwa anafanya nini? au ndiyo alivyo agizwa....
Ni yale mabaki ya waliouawa!! kwani walioua si ndo wenye serikali? au naota!Wanaoshitakiwa ni nani? wauwaji au mabaki ya waliuwawa?:A S 103:
Wewe Frozen unaonekana umepoa hadi kwenye ubongo, unafikiria kwa kutumia sehemu nyetiSasa mke tena? si nilisikia hawara yake ndie mwenye mimba? au ndio mimba double?
Kesi imehairishwa mpaka tarehe 21-10-2011...baada ya washitakiwa wawili kutofika mahakamani nao ni Josephine na Ndesamburo kwa sababu tofauti: Josephine ana udhuru mpaka tarehe 2-10-2011 na Ndesamburo aliyeko nje ya nchi kwa matibabu naye ana udhuru mpaka tarehe 17-10-2011