Uwazitu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 1,419
- 1,396
Anapitia mikataba ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa sgr, ujenzi uwanja wa chato na ujenzi wa bwawa la rufiji, kongole sana mzalendo.
Anapitia mikataba ya ununuzi wa ndege, ujenzi wa sgr, ujenzi uwanja wa chato na ujenzi wa bwawa la rufiji, kongole sana mzalendo.
Matapeli wa kisiasa wanatumia wananchi wanyonge kujinufaisha ao na familia zao, tumewashitukia.
Kujenga nchi .fuatilia kazi za jpmMatumizi mazuri ya pesa ni yapi?!
Kwa kuwa kuna ndege za private serkal isimiliki ndege zake ,acha ujingakwani kabla ya ndege za serikali watu walikuwa hawendi mwanza kwa ndege? issue ni kuipa sekta binafsi kukua na sio kudiscredit usafiri wa ndege. ushindani wa kweli unaletwa na sekta binafsi na sio serikali.
Pia kwa usalama wao na kupunguza minyukano ya kisiasa isiyo na msingi ulikua uamuzi bora kufanya walivyofanya. swala la hela lipo tuu, mbona hata viongozi wa serilikali huwa wanakodi ndege! nadhani hiyo sio hoja ya msingi.
Hahaha huyo jpm anawadanganya wajinga. Pesa za taifa hili siyo mali yake, serikali haitimizi wajibu wake badala yake inafanya siasa.
Tunaakili kuliko ukoo wenu tumesoma tukaelimika, tunatofautisha yeye na wengine hasa waliopitaHahaha huyo jpm anawadanganya wajinga. Pesa za taifa hili siyo mali yake, serikali haitimizi wajibu wake badala yake inafanya siasa.
Anyway ujinga ni nwele na kila mtu anazake.
hahaha ujinga ni nywele na kila mtu anazakeTunaakili kuliko ukoo wenu tumesoma tukaelimika, tunatofautisha yeye na wengine hasa waliopita
Miradi inaonekana sio ishu ya yeye kusema
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja sio kwa nini? amepanda hoja ni kwa nini? Walipanga kupinga ununuaji wa ndege wakati wanajua unamuhimu kama huo wa kufika mwanza haraka
Anawachanganya wasio elewa nchi inakwenda wapiHahaha huyo jpm anawadanganya wajinga. Pesa za taifa hili siyo mali yake, serikali haitimizi wajibu wake badala yake inafanya siasa.
Anyway ujinga ni nwele na kila mtu anazake.
Hoja sio kwa nini? amepanda hoja ni kwa nini? Walipanga kupinga ununuaji wa ndege wakati wanajua unamuhimu kama huo wa kufika mwanza haraka
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja sio kwa nini? amepanda hoja ni kwa nini? Walipanga kupinga ununuaji wa ndege wakati wanajua unamuhimu kama huo wa kufika mwanza haraka
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Taabu sana kucheza na Akili za watu. Wajinga ndiyo Chakula Cha werevu... Aliyeianzisha hii hoja kwa picha, atakuwa na upungufu wa uwezo wa kuchanganua Mambo. Maana usomi siku hizi kila mtu anaweza kuhitimu vyuoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeisahau na hii ya kuwarudisha wajumbe wa nec bure kwa ndege iliyoachiwa mateka! Nayo ni ujenzi wa nchi siyo? Afadhali cdm walikodi na kulipa Kodi ya serikali, ninyi ccm mnapanda bure Kama ya baba yenu! Aibu hii mtaifichaje na mnaambia nini umma wa walipakodi?
Shamba la mzee safi na mahindi na mbuzi vyote vya mzee safi kama mbuzi wa mzee safi kala mahindi ya mzee safi hasara hakunaUmeisahau na hii ya kuwarudisha wajumbe wa nec bure kwa ndege iliyoachiwa mateka! Nayo ni ujenzi wa nchi siyo? Afadhali cdm walikodi na kulipa Kodi ya serikali, ninyi ccm mnapanda bure Kama ya baba yenu! Aibu hii mtaifichaje na mnaambia nini umma wa walipakodi?