madevuu
Member
- Jun 7, 2019
- 5
- 1
Miundombinu ni priority namba moja kwa ajili ha maendeleo ya nchi..ndo maana kila infrastructure ina mirafi yake binafsi..huwezi kuta mradi mmoja hapana miradi ipo tofauti ili kukuza miundombinu na maendelel ya taifa na watu binafsi..tusiwe wapumbavu mda mwingine kusema "maji maji" wakati miradi ya maji ipo na ili kuongeza ufanisi lazima fedha zipatikane ili kuboresha iyo miradi..fedha kupatikana ka kukusanywa lazima miradi kama hii iwepo ili iingizie taifa pato..kitu mnachoona simple na kudharau ni kitu kinachofanya mwisho wa siku tutakuja kupata free health service kama tunavyopata free education..kila kitu na nafasi yake..kama huna ela ya ndege barabara zitajengwa na reli na meli..lets try to think sio kufata mikumbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app