CHADEMA wanaongozwa na Dkt. Slaa upande wa Jeshi la Polisi wanaongozwa na IGP Said Mwema, almost 4 agendas on table, polisi wameomba kufanyike roundtable meeting for now...tume yao haijaanza kufanya kazi yet.
Dr Slaa amkumbushe Mwema kuwa jana Vice President alikuwa Bububu kufungua campaign za CCM kwa vifijo, nderemo na taarab. Amri ya vyama vya siasa kutofanya mikutano ya hadhara wakati wa sensa inahusu vyama vipi?
Walioua ndio wakorofiTungoje matamko baada ya kikao tutajuwa nani ni wakorofi.
More updates plse....
Wewe ndo unastaili kupatA ban, saburi wewe. Unasababishia watu wapewe ban kwa upuuzi wako....andazi
Nchi yetu inahitaji mfumo mpya wa jeshi la polisi,haiwzekani mpaka itokee mauaji tena ya kinyama kama haya ndipo mnakumbuka vikao.Je mwandishi huyo amewakilishwa na nani katika kikao hicho.
Kaka njoo tuition ya Kiingereza Buguruni Rozana. Hapa chini nimeweka tafsiri isiyo rasmi kwa wasio-waswahili ili angalau wajue ulichokusudia kuandika.
So what? If somebody is dead, will their meeting help to bring him back?
How much are they paid per head (for a meeting of their own creation anyway)?
Uache kuvamia lugha za watu na hicho Kiingereza chako cha Sekondari na Vyuo vya Kata.
Agenda nzuri ni
1)Kulipiza visasi kwa Makamanda wa policcm, hasa wanapokuwa Bar au nyumba ndogo
2)Kulipiza visasi kwa Mama/Baba zao, Wake/Waume zao, Kaka/Dada zao ikishindikana basi na watoto zao
3)kuwatafuta kila kona kuanzia madukani, nyumba za ibada, mashuleni na kuwakata visu na kuacha alama ya ccm
Walioua ndio wakorofi
.Mukama nae yupo?
CHADEMA wanaongozwa na Dkt. Slaa upande wa Jeshi la Polisi wanaongozwa na IGP Said Mwema, almost 4 agendas on table, polisi wameomba kufanyike roundtable meeting for now...tume yao haijaanza kufanya kazi yet.
Walitoka walikotoka wakaenda nyumbani kwake wakauwa au sio?
Ritz nahisi kama unaonjwa
Ningekuwa chadema,basi kikao hicho kisingefanyika hadi kwanza mkuu yule wa polisi wa mkoa astep down.Tusubiri matokeo.