Wamunzengo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 810
- 321
Please makene naomba Dr amueleze kinaga ubaga huyo MWEMA jinsi anavyokikandamiza CHADEMA kwa kisingizio cha SENSA wakati FIESTA inakusanya watu wengi inaruhusiwa na inapewa ulinzi na POLISI.
Said mwema ni ZUZU mkubwa, wameamua kuua watanzania kwa maslahi yao binafsi. kwa nini mkusanyiko wa FIESTA uwe halali hadi ulindwe na polisi huku ukiwa umekusanya na watoto halafu mpaka saa 3 za usiku???? halafu wakati huohuo mkusanyiko wa WANACHAMA WA CHADEMA tena halali kwa mujibu wa katiba uwe haramu at the same time??? MWEMA LAZIMA AJUE KWAMBA WATANZANIA TUNAMUONA ANAVYOKUNYWA DAMU ZETU MCHANA KWEUPE, NA LAZIMA AKUMBUKE MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI??? WANATOA WAPI UJASIRI WA KUMSHINDILIA MTU BOMU HALI YA KUWA WANAE MIKONONI MWAO??? KWANI ALIKUWA ANAWAKIMBIA??? THIS IS OBVIOUS UNYWAJI WA DAMU ZA WATU HADHARANI, SIKU WATANZANIA TUKIAMUA NASI TUTAKUNYWA DAMU ZENU NYIE POLISI, DON'T FOULISHLY THINK YOU ARE THAT MUCH SAFE WITH THOSE GUNS YOU ARE HOLDING.