Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Taarifa nilizozipokea hivi punde ni kuwa viongozi kadhaa wa Chadema wanaingia mjini Morogoro muda huu kufanya mkutano Chuo Kikuu Mzumbe kwa mwaliko wa Umoja wa Wanafunzi wa vyuo vya elimu ya wanaChadema tawi la Chuo Kikuu Mzumbe.
Msafara huo unawajumuisha Makamanda John Heche(M/kiti Bavicha), John Mnyika(Mbunge Ubungo) na David Silinde(Mbunge Mbozi Magharibi).
Agenda za mkutano ni pamoja na matatizo ya wanafunzi wa elimu ya juu,Mgomo wa madaktari, katiba mpya, mfumko wa bei, pamoja na mengine mengi.
Kwa wale mliopo morogoro mnakaribishwa chuo kikuu mzumbe kusikiliza ujumbe toka kwa makamanda.
Msafara huo unawajumuisha Makamanda John Heche(M/kiti Bavicha), John Mnyika(Mbunge Ubungo) na David Silinde(Mbunge Mbozi Magharibi).
Agenda za mkutano ni pamoja na matatizo ya wanafunzi wa elimu ya juu,Mgomo wa madaktari, katiba mpya, mfumko wa bei, pamoja na mengine mengi.
Kwa wale mliopo morogoro mnakaribishwa chuo kikuu mzumbe kusikiliza ujumbe toka kwa makamanda.