Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Taarifa kutoka Bukoba mjini zinasema kuwa Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewakamata viongozi wa CHADEMA na makada wa chama hicho waliokuwa wanafanya kikao cha kawaida katika ofisi za CHADEMA mkoani humo.
Hivyo ndivyo Jeshi la Simon Sirro lilivyogeuka kuwa jeshi la uonevu, uonevu huu mpaka unatia aibu hii ni too much.
Sijui Serikali hii ya Tanzania inatafuta nini, Sijui hii Serikali inataka nini kwa kweli. Hii ni too much!
Hivyo ndivyo Jeshi la Simon Sirro lilivyogeuka kuwa jeshi la uonevu, uonevu huu mpaka unatia aibu hii ni too much.
Sijui Serikali hii ya Tanzania inatafuta nini, Sijui hii Serikali inataka nini kwa kweli. Hii ni too much!