Viongozi wa CCM waliochota pesa za Escrow (sio za umma) ambapo sheria inawakamata Seth na Ruge na kuwaacha wengine

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
WAFUATAO WALICHOTEWA MABILIONI YA ESCROW KUTOKA KWENYE ACCOUNT YA RUGEMALIRA: KWA NINI HAWASHTAKIWI?

WANASIASA
Andrew Chenge (MB) CCM - Bilioni 1.6
Anna Tibaijuka (MB) CCM - Bilioni 1.6
Paul Kimiti (CCM) - Milioni 40.4
William Ngeleja (MB) CCM - Milioni 40.4
Daniel Yona (CCM). - Milioni 40.4

MAJAJI
Jaji Mujulizi - Milioni 40.4
Jaji Ruhangisa - Milioni 404.25

WATUMISHI WA UMMA
Mkurugenzi Mkuu TIC, Emanuel Daniel Ole Naiko - Milioni 40.4
Lucy Appollo (TRA) - Milioni 80.8
Dkt. Enos Bukuku (Mjumbe Bodi Ya Tanesco).
Philip Saiboko (RITA) - Milioni 40.4

VIONGOZI WA DINI
Askofu Msaidizi Jimbo Katoliki La Bukoba, Methodius Kilaini - Milioni 80.9
Askofu Msaidizi Jimbo Kuu Katoliki La DSM, Alphonce Twimannye Simon - Milioni 40.4

Mkurugenzi wa TAKUKURU wakati huo alisema kuwa kurudisha fedha zilizochotwa katika akaunti ya Tegeta Escrow hakumsafishi mtu dhidi ya tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili na kusisitiza kuwa ni lazima sheria ichukue mkondo wake bila kujali cheo cha mtuhumiwa.

Swali ni Je mbona ni miaka mitatu sasa tangu Kalasinga Seth na James Rugemalira wakamatwe kwa tuhuma za uhujumu uchumi, mbona hawa washirika wakuu wa ufisadi huu bado wangali uraiani wakila maisha wengine bungeni na hata wengine Makanisani?

Kwa nini walioshirikiana uhujumu uchumi na Seth na Rugemalira wao wapo mtaani wanakula maisha Bungeni na hata Makanisani?

Wakati mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Kalasinga Habinder Sethi na Mfanyabiashara James Rugemarila wao wameendelea kusota rumande kwa mwaka wa tatu sasa kwa kile kinachoitwa eti ni kutokana na upelelezi wa kesi yao ya utakatishaji fedha kutokamilika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo Hakimu Mwaikambo ameahirisha kesi hiyo hadi Oktober 10, 2019 na washitakiwa wamerudishwa rumande.
_
Washitakiwa kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka 12 yakiwemo ya utakatishaji fedha na kusababisha hasara ya Dola za Marekani Milioni 22,198,544.60 na Sh.Bilioni 309,461,300,158.27 ambapo kwa mara ya kwanza walifikishwa Mahakamani hapo Juni 19, 2017.
...
Mtemi Andrew Chenge, Mbunge wa Bariadi (CCM) aliwahi kusema hadharani kwamba "wakumkamata yupo lakini haoni mtu wa kumshitaki". Na kweli hadi leo si kukamatwa tu bali hata kushtakiwa hajashtakiwa.

Ni katika ufisadi huu tulimsikia Anna Tibaijuka ambaye ni Mbunge wa Muleba Kusini (CCM) akisema zile bilioni 1.6 alizochotewa na Rugemalira ni " tuhela twa mboga". Tukamsikia Chenge akisema alichopewa yeye ni vijisenti tu. Yaani kama bilioni 1.6 aliyopewa Change ni vijisenti tu hebu jiulize hao wengine ambao hawatajwi katika huu ufisadi walipewa nini? Na pengine ndio sababu ya Chenge kusema wa kumkamata yupo Ila haoni wa kumshtaki kwa kuwa anajua akishtakiwa ataenda kuchomoa betrii katikati ya hekaheka za uchotaji mafuta na wote wataungulia humo. Na pengine ndio sababu badala ya Chenge kukamatwa na kushtakiwa amepewa cheo cha kua Mwenyekiti wa Bunge katika Bunge na Serikali inayojinasibu kupambana na UFISADI.

Binafsi sina tatizo na kuwekwa ndani Seth na Rugemalira, tatizo langu ni KWA NINI WALIOSHIRIKIANA NA HAWA JAMAA WAPO KITAAN WANAKULA MAISHA na hata wengine tunawaona huko Bunge? Orodha ya washirika wa ufisadi huu iliwekwa wazi na kiwango cha pesa mafisadi wenza walichochotewa, wengine ni Maaskofu. Mbona wako uraiani.

William Ngeleja, Mbunge wa Sengerema (CCM) alitangaza kurudisha fedha alizochotewa, tukasikia kila mtu akizikana si TRA sio nani. Leo nani anajua zile fedha alizotapika Ngeleja ziko wapi?

Leo nasikia na Prof. Anna Tibaijuka naye kashikwa na kichefuchefu na kutangaza kutapika zile bilioni 1.6 (hela za mboga). Sijui nazo kila mtu atazikana?

Can you imagine watu wako gerezani miaka mitatu sasa kwa kile kinachoitwa upelelezi haujakamilika, alafu leo mtu anatokea na kusema njooni kwangu mtubu enyi wenye DHAMBI na kulemewa na mizigo, mlipe mpate UHURU kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi. Lazima tujiulize ni nani anachelewesha kesi hizi, ni nani anachelewesha ushahidi na upelelezi. Je ni upande wa upelelezi, serikali au Mahakama? Kwa nini hatua zisichukuliwe ikiwa kuna nia ya dhati?

Ni vigumu kuamini unaweza washitaki hawa bila kuwashitaki/kuwahusisha walioshirikiana nao ambao ushahidi wa nyaraka uliwekwa wazi.

Bwana yule Mungu aje amlipe kutokana na matendo yake!!

Mwaka wa tatu eti upelelezi haujakamilika, na watu kila siku wanaingia kazini/ofisini na mwisho wa mwezi wanalipwa mishahara na posho!!

Hata kama kweli walifanya makosa, ila kuwaweka watu ndani miaka mitatu huku kila wakati mkidai upelelezi haujakamilika, si kuwatendea haki hata kidogo. Leo mnawaambia watu watubu watubu nini, kazi ya Mahakama ni nini? Nini lengo lililojificha nyuma ya pazia la hii toba? Je zile Mahakama za mafisadi zinafanya kazi? Je tunatafuta kwa nguvu fedha kwa ajili ya kampeni za uchaguzi?

Nawaona Kalasinga Seth na Rugemalira hawa wameamua KAMA ni kufa basi wacha wafe.
Wamesimamia KWELI ya nafsi zao. Mioyo yao imeota sugu, hawaogopi tena kulala chini, kuumwa na mbu, chawa, kunguni wala viroboto vya Jela. Wameheshimu Nafsi zao na kukubali kuwa kila mtu ataonja mauti.

Huenda anaewasababishia USUMBUFU huu akafa kabla wao hawajafa (Mungu ni Msiri) sana.

Hata wale walioshindwa kuvumilia mateso makali ya gerezani na kuamua kutubu hata kama wanajua hawana makosa au walibambikiwa kesi na kwa kuona kuwa hata hukumu ikija toka hawatopewa HAKI kutokana na kesi na ushahidi kuingiliwa basi nao Mungu ni muaminifu atawalipia kisasi.

Mene Mene Tekel na Peres!

Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
 
Itafika siku betri itachomolewa kwny hili sakata la Tegeta Escrow

Sie ni kutizama tu na kukaa kimyaaa
 
Mwaka wa tatu eti upelelezi haujakamilika, na watu kila siku wanaingia kazini/ofisini na mwisho wa mwezi wanalipwa mishahara na posho!!

Hata kama kweli walifanya makosa, ila kuwaweka watu ndani miaka mitatu huku kila wakati mkidai upelelezi haujakamilika, si kuwatendea haki hata kidogo

Tungepiga hii kele na kwa wale masheikh maskini wa uamsho labda nao wangepata hukumu yao,,maana wao si miaka mitatu tu,,nadhani watakua wanatafuta mitano sasa,km kuhukumiwa wahukumiwe na km ushahidi hauonekani ina maana hawana hatia,,upelelezi gami miaka yote hiyo jamani? Hata kama sisi sio wa dini yao lkn tuwaonee huruma hawa binaadam wenzetu jamani,,tusiangalie wanasiasa tu,,,na hawa pia wapewe hukumu yao wajue km ni kifo,kifungo au kuachwa huru
 
WAFUATAO WALICHOTEWA MABILIONI YA ESCROW KUTOKA KWENYE ACCOUNT YA RUGEMALIRA: KWA NINI HAWASHTAKIWI?

WANASIASA
Andrew Chenge (MB) CCM - Bilioni 1.6
Anna Tibaijuka (MB) CCM - Bilioni 1.6
Paul Kimiti (CCM) - Milioni 40.4
William Ngeleja (MB) CCM - Milioni 40.4
Daniel Yona (CCM). - Milioni 40.4

MAJAJI
Jaji Mujulizi - Milioni 40.4
Jaji Ruhangisa - Milioni 404.25

WATUMISHI WA UMMA
Mkurugenzi Mkuu TIC, Emanuel Daniel Ole Naiko - Milioni 40.4
Lucy Appollo (TRA) - Milioni 80.8
Dkt. Enos Bukuku (Mjumbe Bodi Ya Tanesco).
Philip Saiboko (RITA) - Milioni 40.4

VIONGOZI WA DINI
Askofu Msaidizi Jimbo Katoliki La Bukoba, Methodius Kilaini - Milioni 80.9
Askofu Msaidizi Jimbo Kuu Katoliki La DSM, Alphonce Twimannye Simon - Milioni 40.4

Mkurugenzi wa TAKUKURU wakati huo alisema kuwa kurudisha fedha zilizochotwa katika akaunti ya Tegeta Escrow hakumsafishi mtu dhidi ya tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili na kusisitiza kuwa ni lazima sheria ichukue mkondo wake bila kujali cheo cha mtuhumiwa.

Swali ni Je mbona ni miaka mitatu sasa tangu Kalasinga Seth na James Rugemalira wakamatwe kwa tuhuma za uhujumu uchumi, mbona hawa washirika wakuu wa ufisadi huu bado wangali uraiani wakila maisha wengine bungeni na hata wengine Makanisani?

Kwa nini walioshirikiana uhujumu uchumi na Seth na Rugemalira wao wapo mtaani wanakula maisha Bungeni na hata Makanisani?

Wakati mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Kalasinga Habinder Sethi na Mfanyabiashara James Rugemarila wao wameendelea kusota rumande kwa mwaka wa tatu sasa kwa kile kinachoitwa eti ni kutokana na upelelezi wa kesi yao ya utakatishaji fedha kutokamilika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo Hakimu Mwaikambo ameahirisha kesi hiyo hadi Oktober 10, 2019 na washitakiwa wamerudishwa rumande.
_
Washitakiwa kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka 12 yakiwemo ya utakatishaji fedha na kusababisha hasara ya Dola za Marekani Milioni 22,198,544.60 na Sh.Bilioni 309,461,300,158.27 ambapo kwa mara ya kwanza walifikishwa Mahakamani hapo Juni 19, 2017.
...
Mtemi Andrew Chenge, Mbunge wa Bariadi (CCM) aliwahi kusema hadharani kwamba "wakumkamata yupo lakini haoni mtu wa kumshitaki". Na kweli hadi leo si kukamatwa tu bali hata kushtakiwa hajashtakiwa.

Ni katika ufisadi huu tulimsikia Anna Tibaijuka ambaye ni Mbunge wa Muleba Kusini (CCM) akisema zile bilioni 1.6 alizochotewa na Rugemalira ni " tuhela twa mboga". Tukamsikia Chenge akisema alichopewa yeye ni vijisenti tu. Yaani kama bilioni 1.6 aliyopewa Change ni vijisenti tu hebu jiulize hao wengine ambao hawatajwi katika huu ufisadi walipewa nini? Na pengine ndio sababu ya Chenge kusema wa kumkamata yupo Ila haoni wa kumshtaki kwa kuwa anajua akishtakiwa ataenda kuchomoa betrii katikati ya hekaheka za uchotaji mafuta na wote wataungulia humo. Na pengine ndio sababu badala ya Chenge kukamatwa na kushtakiwa amepewa cheo cha kua Mwenyekiti wa Bunge katika Bunge na Serikali inayojinasibu kupambana na UFISADI.

Binafsi sina tatizo na kuwekwa ndani Seth na Rugemalira, tatizo langu ni KWA NINI WALIOSHIRIKIANA NA HAWA JAMAA WAPO KITAAN WANAKULA MAISHA na hata wengine tunawaona huko Bunge? Orodha ya washirika wa ufisadi huu iliwekwa wazi na kiwango cha pesa mafisadi wenza walichochotewa, wengine ni Maaskofu. Mbona wako uraiani.

William Ngeleja, Mbunge wa Sengerema (CCM) alitangaza kurudisha fedha alizochotewa, tukasikia kila mtu akizikana si TRA sio nani. Leo nani anajua zile fedha alizotapika Ngeleja ziko wapi?

Leo nasikia na Prof. Anna Tibaijuka naye kashikwa na kichefuchefu na kutangaza kutapika zile bilioni 1.6 (hela za mboga). Sijui nazo kila mtu atazikana?

Can you imagine watu wako gerezani miaka mitatu sasa kwa kile kinachoitwa upelelezi haujakamilika, alafu leo mtu anatokea na kusema njooni kwangu mtubu enyi wenye DHAMBI na kulemewa na mizigo, mlipe mpate UHURU kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi. Lazima tujiulize ni nani anachelewesha kesi hizi, ni nani anachelewesha ushahidi na upelelezi. Je ni upande wa upelelezi, serikali au Mahakama? Kwa nini hatua zisichukuliwe ikiwa kuna nia ya dhati?

Ni vigumu kuamini unaweza washitaki hawa bila kuwashitaki/kuwahusisha walioshirikiana nao ambao ushahidi wa nyaraka uliwekwa wazi.

Bwana yule Mungu aje amlipe kutokana na matendo yake!!

Mwaka wa tatu eti upelelezi haujakamilika, na watu kila siku wanaingia kazini/ofisini na mwisho wa mwezi wanalipwa mishahara na posho!!

Hata kama kweli walifanya makosa, ila kuwaweka watu ndani miaka mitatu huku kila wakati mkidai upelelezi haujakamilika, si kuwatendea haki hata kidogo. Leo mnawaambia watu watubu watubu nini, kazi ya Mahakama ni nini? Nini lengo lililojificha nyuma ya pazia la hii toba? Je zile Mahakama za mafisadi zinafanya kazi? Je tunatafuta kwa nguvu fedha kwa ajili ya kampeni za uchaguzi?

Nawaona Kalasinga Seth na Rugemalira hawa wameamua KAMA ni kufa basi wacha wafe.
Wamesimamia KWELI ya nafsi zao. Mioyo yao imeota sugu, hawaogopi tena kulala chini, kuumwa na mbu, chawa, kunguni wala viroboto vya Jela. Wameheshimu Nafsi zao na kukubali kuwa kila mtu ataonja mauti.

Huenda anaewasababishia USUMBUFU huu akafa kabla wao hawajafa (Mungu ni Msiri) sana.

Hata wale walioshindwa kuvumilia mateso makali ya gerezani na kuamua kutubu hata kama wanajua hawana makosa au walibambikiwa kesi na kwa kuona kuwa hata hukumu ikija toka hawatopewa HAKI kutokana na kesi na ushahidi kuingiliwa basi nao Mungu ni muaminifu atawalipia kisasi.

Mene Mene Tekel na Peres!

Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
Sijaona mwanachadema hapo!.......why?!
 
WAFUATAO WALICHOTEWA MABILIONI YA ESCROW KUTOKA KWENYE ACCOUNT YA RUGEMALIRA: KWA NINI HAWASHTAKIWI?

WANASIASA
Andrew Chenge (MB) CCM - Bilioni 1.6
Anna Tibaijuka (MB) CCM - Bilioni 1.6
Paul Kimiti (CCM) - Milioni 40.4
William Ngeleja (MB) CCM - Milioni 40.4
Daniel Yona (CCM). - Milioni 40.4

MAJAJI
Jaji Mujulizi - Milioni 40.4
Jaji Ruhangisa - Milioni 404.25

WATUMISHI WA UMMA
Mkurugenzi Mkuu TIC, Emanuel Daniel Ole Naiko - Milioni 40.4
Lucy Appollo (TRA) - Milioni 80.8
Dkt. Enos Bukuku (Mjumbe Bodi Ya Tanesco).
Philip Saiboko (RITA) - Milioni 40.4

VIONGOZI WA DINI
Askofu Msaidizi Jimbo Katoliki La Bukoba, Methodius Kilaini - Milioni 80.9
Askofu Msaidizi Jimbo Kuu Katoliki La DSM, Alphonce Twimannye Simon - Milioni 40.4

Mkurugenzi wa TAKUKURU wakati huo alisema kuwa kurudisha fedha zilizochotwa katika akaunti ya Tegeta Escrow hakumsafishi mtu dhidi ya tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili na kusisitiza kuwa ni lazima sheria ichukue mkondo wake bila kujali cheo cha mtuhumiwa.

Swali ni Je mbona ni miaka mitatu sasa tangu Kalasinga Seth na James Rugemalira wakamatwe kwa tuhuma za uhujumu uchumi, mbona hawa washirika wakuu wa ufisadi huu bado wangali uraiani wakila maisha wengine bungeni na hata wengine Makanisani?

Kwa nini walioshirikiana uhujumu uchumi na Seth na Rugemalira wao wapo mtaani wanakula maisha Bungeni na hata Makanisani?

Wakati mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Kalasinga Habinder Sethi na Mfanyabiashara James Rugemarila wao wameendelea kusota rumande kwa mwaka wa tatu sasa kwa kile kinachoitwa eti ni kutokana na upelelezi wa kesi yao ya utakatishaji fedha kutokamilika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo Hakimu Mwaikambo ameahirisha kesi hiyo hadi Oktober 10, 2019 na washitakiwa wamerudishwa rumande.
_
Washitakiwa kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka 12 yakiwemo ya utakatishaji fedha na kusababisha hasara ya Dola za Marekani Milioni 22,198,544.60 na Sh.Bilioni 309,461,300,158.27 ambapo kwa mara ya kwanza walifikishwa Mahakamani hapo Juni 19, 2017.
...
Mtemi Andrew Chenge, Mbunge wa Bariadi (CCM) aliwahi kusema hadharani kwamba "wakumkamata yupo lakini haoni mtu wa kumshitaki". Na kweli hadi leo si kukamatwa tu bali hata kushtakiwa hajashtakiwa.

Ni katika ufisadi huu tulimsikia Anna Tibaijuka ambaye ni Mbunge wa Muleba Kusini (CCM) akisema zile bilioni 1.6 alizochotewa na Rugemalira ni " tuhela twa mboga". Tukamsikia Chenge akisema alichopewa yeye ni vijisenti tu. Yaani kama bilioni 1.6 aliyopewa Change ni vijisenti tu hebu jiulize hao wengine ambao hawatajwi katika huu ufisadi walipewa nini? Na pengine ndio sababu ya Chenge kusema wa kumkamata yupo Ila haoni wa kumshtaki kwa kuwa anajua akishtakiwa ataenda kuchomoa betrii katikati ya hekaheka za uchotaji mafuta na wote wataungulia humo. Na pengine ndio sababu badala ya Chenge kukamatwa na kushtakiwa amepewa cheo cha kua Mwenyekiti wa Bunge katika Bunge na Serikali inayojinasibu kupambana na UFISADI.

Binafsi sina tatizo na kuwekwa ndani Seth na Rugemalira, tatizo langu ni KWA NINI WALIOSHIRIKIANA NA HAWA JAMAA WAPO KITAAN WANAKULA MAISHA na hata wengine tunawaona huko Bunge? Orodha ya washirika wa ufisadi huu iliwekwa wazi na kiwango cha pesa mafisadi wenza walichochotewa, wengine ni Maaskofu. Mbona wako uraiani.

William Ngeleja, Mbunge wa Sengerema (CCM) alitangaza kurudisha fedha alizochotewa, tukasikia kila mtu akizikana si TRA sio nani. Leo nani anajua zile fedha alizotapika Ngeleja ziko wapi?

Leo nasikia na Prof. Anna Tibaijuka naye kashikwa na kichefuchefu na kutangaza kutapika zile bilioni 1.6 (hela za mboga). Sijui nazo kila mtu atazikana?

Can you imagine watu wako gerezani miaka mitatu sasa kwa kile kinachoitwa upelelezi haujakamilika, alafu leo mtu anatokea na kusema njooni kwangu mtubu enyi wenye DHAMBI na kulemewa na mizigo, mlipe mpate UHURU kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi. Lazima tujiulize ni nani anachelewesha kesi hizi, ni nani anachelewesha ushahidi na upelelezi. Je ni upande wa upelelezi, serikali au Mahakama? Kwa nini hatua zisichukuliwe ikiwa kuna nia ya dhati?

Ni vigumu kuamini unaweza washitaki hawa bila kuwashitaki/kuwahusisha walioshirikiana nao ambao ushahidi wa nyaraka uliwekwa wazi.

Bwana yule Mungu aje amlipe kutokana na matendo yake!!

Mwaka wa tatu eti upelelezi haujakamilika, na watu kila siku wanaingia kazini/ofisini na mwisho wa mwezi wanalipwa mishahara na posho!!

Hata kama kweli walifanya makosa, ila kuwaweka watu ndani miaka mitatu huku kila wakati mkidai upelelezi haujakamilika, si kuwatendea haki hata kidogo. Leo mnawaambia watu watubu watubu nini, kazi ya Mahakama ni nini? Nini lengo lililojificha nyuma ya pazia la hii toba? Je zile Mahakama za mafisadi zinafanya kazi? Je tunatafuta kwa nguvu fedha kwa ajili ya kampeni za uchaguzi?

Nawaona Kalasinga Seth na Rugemalira hawa wameamua KAMA ni kufa basi wacha wafe.
Wamesimamia KWELI ya nafsi zao. Mioyo yao imeota sugu, hawaogopi tena kulala chini, kuumwa na mbu, chawa, kunguni wala viroboto vya Jela. Wameheshimu Nafsi zao na kukubali kuwa kila mtu ataonja mauti.

Huenda anaewasababishia USUMBUFU huu akafa kabla wao hawajafa (Mungu ni Msiri) sana.

Hata wale walioshindwa kuvumilia mateso makali ya gerezani na kuamua kutubu hata kama wanajua hawana makosa au walibambikiwa kesi na kwa kuona kuwa hata hukumu ikija toka hawatopewa HAKI kutokana na kesi na ushahidi kuingiliwa basi nao Mungu ni muaminifu atawalipia kisasi.

Mene Mene Tekel na Peres!

Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
IMG-20191002-WA0000.jpg
 
WAFUATAO WALICHOTEWA MABILIONI YA ESCROW KUTOKA KWENYE ACCOUNT YA RUGEMALIRA: KWA NINI HAWASHTAKIWI?

WANASIASA
Andrew Chenge (MB) CCM - Bilioni 1.6
Anna Tibaijuka (MB) CCM - Bilioni 1.6
Paul Kimiti (CCM) - Milioni 40.4
William Ngeleja (MB) CCM - Milioni 40.4
Daniel Yona (CCM). - Milioni 40.4

MAJAJI
Jaji Mujulizi - Milioni 40.4
Jaji Ruhangisa - Milioni 404.25

WATUMISHI WA UMMA
Mkurugenzi Mkuu TIC, Emanuel Daniel Ole Naiko - Milioni 40.4
Lucy Appollo (TRA) - Milioni 80.8
Dkt. Enos Bukuku (Mjumbe Bodi Ya Tanesco).
Philip Saiboko (RITA) - Milioni 40.4

VIONGOZI WA DINI
Askofu Msaidizi Jimbo Katoliki La Bukoba, Methodius Kilaini - Milioni 80.9
Askofu Msaidizi Jimbo Kuu Katoliki La DSM, Alphonce Twimannye Simon - Milioni 40.4

Mkurugenzi wa TAKUKURU wakati huo alisema kuwa kurudisha fedha zilizochotwa katika akaunti ya Tegeta Escrow hakumsafishi mtu dhidi ya tuhuma za uhujumu uchumi zinazomkabili na kusisitiza kuwa ni lazima sheria ichukue mkondo wake bila kujali cheo cha mtuhumiwa.

Swali ni Je mbona ni miaka mitatu sasa tangu Kalasinga Seth na James Rugemalira wakamatwe kwa tuhuma za uhujumu uchumi, mbona hawa washirika wakuu wa ufisadi huu bado wangali uraiani wakila maisha wengine bungeni na hata wengine Makanisani?

Kwa nini walioshirikiana uhujumu uchumi na Seth na Rugemalira wao wapo mtaani wanakula maisha Bungeni na hata Makanisani?

Wakati mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Kalasinga Habinder Sethi na Mfanyabiashara James Rugemarila wao wameendelea kusota rumande kwa mwaka wa tatu sasa kwa kile kinachoitwa eti ni kutokana na upelelezi wa kesi yao ya utakatishaji fedha kutokamilika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo Hakimu Mwaikambo ameahirisha kesi hiyo hadi Oktober 10, 2019 na washitakiwa wamerudishwa rumande.
_
Washitakiwa kwa pamoja wanakabiliwa na mashitaka 12 yakiwemo ya utakatishaji fedha na kusababisha hasara ya Dola za Marekani Milioni 22,198,544.60 na Sh.Bilioni 309,461,300,158.27 ambapo kwa mara ya kwanza walifikishwa Mahakamani hapo Juni 19, 2017.
...
Mtemi Andrew Chenge, Mbunge wa Bariadi (CCM) aliwahi kusema hadharani kwamba "wakumkamata yupo lakini haoni mtu wa kumshitaki". Na kweli hadi leo si kukamatwa tu bali hata kushtakiwa hajashtakiwa.

Ni katika ufisadi huu tulimsikia Anna Tibaijuka ambaye ni Mbunge wa Muleba Kusini (CCM) akisema zile bilioni 1.6 alizochotewa na Rugemalira ni " tuhela twa mboga". Tukamsikia Chenge akisema alichopewa yeye ni vijisenti tu. Yaani kama bilioni 1.6 aliyopewa Change ni vijisenti tu hebu jiulize hao wengine ambao hawatajwi katika huu ufisadi walipewa nini? Na pengine ndio sababu ya Chenge kusema wa kumkamata yupo Ila haoni wa kumshtaki kwa kuwa anajua akishtakiwa ataenda kuchomoa betrii katikati ya hekaheka za uchotaji mafuta na wote wataungulia humo. Na pengine ndio sababu badala ya Chenge kukamatwa na kushtakiwa amepewa cheo cha kua Mwenyekiti wa Bunge katika Bunge na Serikali inayojinasibu kupambana na UFISADI.

Binafsi sina tatizo na kuwekwa ndani Seth na Rugemalira, tatizo langu ni KWA NINI WALIOSHIRIKIANA NA HAWA JAMAA WAPO KITAAN WANAKULA MAISHA na hata wengine tunawaona huko Bunge? Orodha ya washirika wa ufisadi huu iliwekwa wazi na kiwango cha pesa mafisadi wenza walichochotewa, wengine ni Maaskofu. Mbona wako uraiani.

William Ngeleja, Mbunge wa Sengerema (CCM) alitangaza kurudisha fedha alizochotewa, tukasikia kila mtu akizikana si TRA sio nani. Leo nani anajua zile fedha alizotapika Ngeleja ziko wapi?

Leo nasikia na Prof. Anna Tibaijuka naye kashikwa na kichefuchefu na kutangaza kutapika zile bilioni 1.6 (hela za mboga). Sijui nazo kila mtu atazikana?

Can you imagine watu wako gerezani miaka mitatu sasa kwa kile kinachoitwa upelelezi haujakamilika, alafu leo mtu anatokea na kusema njooni kwangu mtubu enyi wenye DHAMBI na kulemewa na mizigo, mlipe mpate UHURU kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi. Lazima tujiulize ni nani anachelewesha kesi hizi, ni nani anachelewesha ushahidi na upelelezi. Je ni upande wa upelelezi, serikali au Mahakama? Kwa nini hatua zisichukuliwe ikiwa kuna nia ya dhati?

Ni vigumu kuamini unaweza washitaki hawa bila kuwashitaki/kuwahusisha walioshirikiana nao ambao ushahidi wa nyaraka uliwekwa wazi.

Bwana yule Mungu aje amlipe kutokana na matendo yake!!

Mwaka wa tatu eti upelelezi haujakamilika, na watu kila siku wanaingia kazini/ofisini na mwisho wa mwezi wanalipwa mishahara na posho!!

Hata kama kweli walifanya makosa, ila kuwaweka watu ndani miaka mitatu huku kila wakati mkidai upelelezi haujakamilika, si kuwatendea haki hata kidogo. Leo mnawaambia watu watubu watubu nini, kazi ya Mahakama ni nini? Nini lengo lililojificha nyuma ya pazia la hii toba? Je zile Mahakama za mafisadi zinafanya kazi? Je tunatafuta kwa nguvu fedha kwa ajili ya kampeni za uchaguzi?

Nawaona Kalasinga Seth na Rugemalira hawa wameamua KAMA ni kufa basi wacha wafe.
Wamesimamia KWELI ya nafsi zao. Mioyo yao imeota sugu, hawaogopi tena kulala chini, kuumwa na mbu, chawa, kunguni wala viroboto vya Jela. Wameheshimu Nafsi zao na kukubali kuwa kila mtu ataonja mauti.

Huenda anaewasababishia USUMBUFU huu akafa kabla wao hawajafa (Mungu ni Msiri) sana.

Hata wale walioshindwa kuvumilia mateso makali ya gerezani na kuamua kutubu hata kama wanajua hawana makosa au walibambikiwa kesi na kwa kuona kuwa hata hukumu ikija toka hawatopewa HAKI kutokana na kesi na ushahidi kuingiliwa basi nao Mungu ni muaminifu atawalipia kisasi.

Mene Mene Tekel na Peres!

Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
Daah, hii ndio Tanzania nchi yenye udongo wa dhambi. R I.P Dada akwilina waliokuua wanakula bata mtaani, wakiliokutetea wanakabiliwa na kesi ya kubambikwa, ya kukuua ww. Mungu ndio hakimu wa kifo chako
 
Mkuu, hapa ni mapenzi ya CCM yatimizwe hapa TZ kama vile yatimizwavyo kwa wote wasiojielewa, mbumbumbu, wanafiki, wenye kujipendekeza ili kuganga njaa zao na wenye woga wa kuhoji mambo muhimu.
 
Back
Top Bottom