Viongozi wa CCM wajifunze kwa wenzao wa Jubilee ya Kenya

SACCOS yenu ya kichaga imewahi kuamini katika kushindwa?
Hivi ni lini nanyi Sisiem mliwahi kukubali kushindwa?

Nyinyi huwa mnaamini kuwa chama chenu ni chama dola kwa hiyo itakuwa "miracles" kushindwa kwa kupitia sanduku la kura!

Kwa kuwa mnajua NEC yenu....
Mnajua pia Policcm nao wenu.....
Hata kile Kitengo "mnakimiliki" nyinyi...

Sasa mtawezaje kushindwa?

Kwa kuwa kura zenu zisipotosha mnalazimisha kuzitosheleza........
 
Hivi ni lini nanyi Sisiem mliwahi kukubali kushindwa?

Nyinyi huwa mnaamini kuwa chama chenu ni chama dola kwa hiyo itakuwa "miracles" kushindwa kwa kupitia sanduku la kura!

Kwa kuwa mnajua NEC yenu....
Mnajua pia Policcm nao wenu.....
Hata kile Kitengo "mnakimiliki" nyinyi...

Sasa mtawezaje kushindwa?

Kwa kuwa kura zenu zisipotosha mnalazimisha kuzitosheleza........
Bado hawajakuambia maana ya chama dola ukajua kubishana?
Eti mnaamini, Chadema buana!
 
Makuu usiwe unapoteza kumbukumbu, siku ya uchaguzo wagombea wote wanafanyaga ivovio.
Nyuma ya pazia wanajua wanachofanya, usiwaamini sana wanasiasa. ila inaonekana we mdogo sana kwenye uwanja wa siasa.
Angalia hapo ya Magufuli


Kwa hiyo hapo umemsikia Magufuli akisema kilichosemwa na Uhuru?

Unafiki sio mzuri kaka
 
Vipi yule jamaa aliuawa sababu ya nini? ushawahi jiuliza hilo? mshindi anajulikana mbona
 
Wewe ulimsikia?

Hakujawahi kutokea hapa TZ katika chaguzi zote za mfumo wa vyama vingi tokea mwaka 1095, ambapo wagombea wa Urais kwa upande wa Jamhuri na yule wa Zanzibar kutoka CCM aliyewahi kutamka kuwa atayapokea matokeo hata kama atakayeshinda atatoka upinzani.

Kama una ushahidi wa mgombea yeyote wa Urais wa CCM aliyewahi kutamka hivyo weka clip humu jamvini....
Huo mwaka ulioandika ulikwapo duniani!!???
 
Back
Top Bottom