johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,612
- 141,432
Uongozi wa CCM Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza umetembelea ofisi za Tanesco kupeleka kilio cha Wananchi kuhusu Kukatikakatika Umeme
Katibu wa CCM wilayani amesema wamepokelewa vizuri na majibu waliyopewa yamewaridhisha
Source TBC
Katibu wa CCM wilayani amesema wamepokelewa vizuri na majibu waliyopewa yamewaridhisha
Source TBC