Viongozi wa BAVICHA waliokuwa wanashikiliwa Mkoani Singida wameachiwa huru

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,601
217,992
FB_IMG_1606162812872.jpg

Hii ndio taarifa iliyotufikia usiku huu, kwamba Mhamasishaji wa BAVICHA Twaha Mwaipaya na Katibu Mkuu wa Bavicha Mh Nusrat Hanje , leo wameachiwa huru na Serikali ya Tanzania , huku ikidai haina haja ya kuendelea na kesi hiyo, hii ni masaa machache kabla ya kusomwa hukumu ya maombi yao ya haki ya dhamana .

Vijana hawa wadogo walishtakiwa kwa kosa la kuimba wimbo wa Taifa lao huku wakipandisha bendera ya chama chao cha siasa ambacho kimesajiliwa kufanya siasa nchini Tanzania , wamekomolewa kinyama kwa kunyima dhamana kwa zaidi ya miezi minne kutokana na roho mbaya za viongozi washamba waliopata madaraka ya nchi na kuyatumia kama silaha ya kuumiza wengine .

Bali kama tulivyosema mara zote ni kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE KATIKA DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU KWENYE LOLOTE .

Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri .
 
Nikweli shetani hajawahi kumshinda Mungu katika Vita yeyote Ile na ndo maana baada ya Vita iliyotokea Tanzania mnamo 28Oct2020 Mashetani yote yalishindwa Vita na kukimbia katika Uwanja wa mapambano.

Mungu bado yupo nasi wa Watanzania.

I love my country
 
Serikali na yenyewe ndio muda wao umefika wa kuteswa na "BUNGE LA EU", acha wafedheheshwe na kuaibishwa kwa kula hela za msaada wa kupambana na Covid-19.

Malipo hapa hapa duniani. Acha wafe kwa presha na kisonono tu. Tutaweka bendera nusu mlingoti, haina noma fresh tu.
 
Mkuu Hawa wanaharamu sisi tunawagonga duwa za viongozi dhalimu na jeuri kila sikumpaka mwenyezi Mungu awapukutishe maccm wote wauaji watekaji ,wafungaji waonezi , dhulumati ,mafisadi , majizi , matekaji .
Mungu amesikia kilio chako atafanyia kazi
 
Back
Top Bottom