Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,558
- 217,846
- Thread starter
- #21
What goes around comes aroundKenge hasikii mpaka atoke damu masikioni chadema Ni wajinga na wapumbavu Ni kizazi Cha hakina heri
What goes around comes aroundKenge hasikii mpaka atoke damu masikioni chadema Ni wajinga na wapumbavu Ni kizazi Cha hakina heri
Walitakiwa waimbe wimbo wa TAIFA WA BURUNDI...yaani chadema wanatakaga kiki zingine za kijinga sana sasa hata waliona wapi unapandisha bendera ya chama na kuimba wimbo wa taifa wacha wateseke tu ujinga mwingine wakujitakia
Mungu tu awatie nguvu wavumilie mpaka hiyo tarehe 3/08/2020. Ila vijna wangepunguza mihemuko huyu mkoloni mweusi mbona angetoka? Lakini sasa kwa vile tunaendeshwa na kusaka umaarufu wa kijinga matokeo yake ndio hayo!!Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Kwani hatuna wimbo wa chama? Wimbo wa Taifa siyo wa kuchezea maana hiyo ni nembo mojawapo ya nchi, tutapigwa mpaka tuchakae!Walitakiwa waimbe wimbo wa TAIFA WA BURUNDI...
HIVI UZALENDO WA NCHI NI UPI?
Huwa wana mikwara ya kijinga sana kutoa matamko mazito halafu yasipotekelezwa unasikia "shetani hajawahi kumshinda"Uliulizwa swali hapo juu endapo itatokea Mh. Jaji akaumwa mtachukua hatua gani? Sasa yako wapi? Jamaa kajiuguza ili kuendelea kuwakomoa hao vijana, namhurumia sana Nusrat jamaa wasije wakajishindia tu!!
Walishamsahau sasa wako na msaliti Lissu!! HahahahaKamanda Mdude huwa mnaenda kumuona?
Soma sheria iliyoanzisha huo wimbo na Penal Code siyo kila kitu kipo kwenye Katiba dada!katiba ipi uliyonukuu kifungu chake
USA kuna hadi bikini zenye rangi ya bendera ya Taifa , hapa mkiona wadada wamezivaa zenye bendera ya Tanzania nadhani mtawatwanga mabomuKwani hatuna wimbo wa chama? Wimbo wa Taifa siyo wa kuchezea maana hiyo ni nembo mojawapo ya nchi, tutapigwa mpaka tuchakae!
Mjumbe hebu turudi kwenye wimbo wa taifa kwanza, unaona wale ndugu zetu walikuwa sahihi kufanya walichokifanya?USA kuna hadi bikini zenye rangi ya bendera ya Taifa , hapa mkiona wadada wamezivaa zenye bendera ya Tanzania nadhani mtawatwanga mabomu
Kwahiyo chama kikikamata dola ni sahihi kuimba wimbo wa taifa huku ukipandisha bendera ya chama husika ?Kasome vizuri sheria ya national emblems. Ni kosa kubadili au kudhihaki wimbo wa Taifa. Hicho walichokifanya vijana wetu ni kudhihaki wimbo wa Taifa maana haijaruhusiwa kwamba unapopandisha bendera ya chama uimbe wimbo wa Taifa, tena chama chenyewe hakijakamata dola!!
Nenda kwenye swali hoja Uzalendo wa nchi ni upi?Kwani hatuna wimbo wa chama? Wimbo wa Taifa siyo wa kuchezea maana hiyo ni nembo mojawapo ya nchi, tutapigwa mpaka tuchakae!
wajishindie mara ngapi mkuu wakati sasa hivi anakaa ndani mwisho saa kuminambili anatolewa kwenda kuliwa mpaka asubuhi anavuna alichokipandaUliulizwa swali hapo juu endapo itatokea Mh. Jaji akaumwa mtachukua hatua gani? Sasa yako wapi? Jamaa kajiuguza ili kuendelea kuwakomoa hao vijana, namhurumia sana Nusrat jamaa wasije wakajishindia tu!!
hairuhusiwi hiyo ni dhihaka hivi hamna wasomi wanojuwa sheria za nchi wawe wanauliza kwanza? sasa chama gani hakinnawaatu wanaojua sheria kife tuWalitakiwa waimbe wimbo wa TAIFA WA BURUNDI...
HIVI UZALENDO WA NCHI NI UPI?
Na wale wa bongo fleva waliuoweka wimbo wa Taifa katika nyimbo zao unasemaje?wakati ukijisahaulisha niliuliza "Uzalendo ni nini?"hairuhusiwi hiyo ni dhihaka hivi hamna wasomi wanojuwa sheria za nchi wawe wanauliza kwanza? sasa chama gani hakinnawaatu wanaojua sheria kife tu