Viongozi wa awamu ya pili hamkutimiza wajibu wenu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,553
44,719
TANZANIA katika awamu ya pili tungempata Rais wa Aina Kama ya Magufuli tungekuwa mbali mno.maono ya Magufuli Ni mazuri Sana taifa linatakiwa liwe na hela.haiwezekani nchi iwe Ni omba omba mpaka tuombe watu wa ndani hela, matajiri wawepo lakini na taifa tujivunie kuwa na serikali yenye hela.baraza la mawaziri mngefanya kusimamia vizuri mapato Leo hii Tanzania tulipaswa tuwe na uchumi wa Kati siku nyingi tu Toka huko kwa Rais Mwinyi.chama kinatakiwa kiwe na hela pia sio kuchangiwa na wafadhili.magufuli atathibiti mifumo vizuri.cha kuzingatia kwa Sasa Ni vyombo vya kutafsiri sheria kazi ni kwenu kuonyesha nguvu yenu ili kuwe na mgawanyo mzuri.serikali ibainike wazi kuwa Ni bunge na mahakama.pongezi kwa wabunge wengi tu wanatimiza wajibu wao vizuri.serikali KAMWE haionei mtu.sio matukio yote mhusanishe Ni serikali.kama mnakumbuka Patric lumumba aliuwawa.hizi kazi Zina changamoto usalama wetu na amani Ni ushirikiano.mkumbuke polisi wanafanya kazi yenye changamoto.huko ndani ya serikali Kuna sirikali.baada ya sokoine anayefuata kwa utendaji kazi katika viongozi wakubwa wote Ni Magufuli pekee.vitendo dhidi ya maneno.
 
Na kweli wabunge wanafanya kazi nzuri. Watafunga kingamuzi cha kujua nani ana govi?
 
Hivi hapo LB7 wote ni zero brains au? Hakuna hata mmoja alieelimika kidogo asaidie hata kuelekeza kuandika vizuri?
Nyie wapinzani tatizo lenu mnapanda juu.sasa tutawaonyesha kwenye uchaguzi ujao.tutawapanda juu.tutainyesha duniani jinsi spirit ya Magufuli tulivyoivaa vijana.usaliti vs uzalendo.magufuli anafanya vizuri tuchapeni kazi tuache kutengeneza story za watu
Mbona wapo wazalendo wengi tu tatizo hamuwajui.ukweli wa Mambo Ni kuwa Magufuli yupo upande wa wananchi
 
Muache Mzee Mwinyi ajipumzikie!
Bila ya Mzee Mwinyi tungeendelea kupanga foleni ya mawe kununua robo kilo ya unga kwenye maduka ya Kaya kwa bei ya "kurusha"!
 
Na kweli wabunge wanafanya kazi nzuri. Watafunga kingamuzi cha kujua nani ana govi?
Hizi stories hazina haja ya kuzichukulia maanani.issue kubwa hapa Ni Magufuli.. Magufuli ndio brand kuu ya Tanzania
 
Nyie wapinzani tatizo lenu mnapanda juu.sasa tutawaonyesha kwenye uchaguzi ujao.tutawapanda juu.tutainyesha duniani jinsi spirit ya Magufuli tulivyoivaa vijana.usaliti vs uzalendo.magufuli anafanya vizuri tuchapeni kazi tuache kutengeneza story za watu
Mbona wapo wazalendo wengi tu tatizo hamuwajui.ukweli wa Mambo Ni kuwa Magufuli yupo upande wa wananchi
Wewe akili zako za kindege joni hujui kitu. Kwanza ni mbakaji uliekiri mwenyewe huwa nakuona chizi tu usiejitambua.

Mwandiko wako unadhihirisha zaidi kuwa unabaka hata fani.
 
Mimi Ni mtanzania kijana Kama wewe.nina uelewa wa Mambo kwa upana juu ya hiki kinachoitwa serikali.wewe endelea kukariri idea A kinyonge.sisi wenzako na kina Magufuli tunafikiria tutaiachaje TANZANIA yetu
Wewe akili zako za kindege joni hujui kitu. Kwanza ni mbakaji uliekiri mwenyewe huwa nakuona chizi tu usiejitambua.

Mwandiko wako unadhihirisha zaidi kuwa unabaka hata fani.
 
Mimi Ni mtanzania kijana Kama wewe.nina uelewa wa Mambo kwa upana juu ya hiki kinachoitwa serikali.wewe endelea kukariri idea A kinyonge.sisi wenzako na kina Magufuli tunafikiria tutaiachaje TANZANIA yetu
Embu tuambie serikali inafanyaje inadhibiti vipi mzunguko wa hela kupitia BOT?
 
TANZANIA katika awamu ya pili tungempata Rais wa Aina Kama ya Magufuli tungekuwa mbali mno.maono ya Magufuli Ni mazuri Sana taifa linatakiwa liwe na hela.haiwezekani nchi iwe Ni omba omba mpaka tuombe watu wa ndani hela, matajiri wawepo lakini na taifa tujivunie kuwa na serikali yenye hela.baraza la mawaziri mngefanya kusimamia vizuri mapato Leo hii Tanzania tulipaswa tuwe na uchumi wa Kati siku nyingi tu Toka huko kwa Rais Mwinyi.chama kinatakiwa kiwe na hela pia sio kuchangiwa na wafadhili.magufuli atathibiti mifumo vizuri.cha kuzingatia kwa Sasa Ni vyombo vya kutafsiri sheria kazi ni kwenu kuonyesha nguvu yenu ili kuwe na mgawanyo mzuri.serikali ibainike wazi kuwa Ni bunge na mahakama.pongezi kwa wabunge wengi tu wanatimiza wajibu wao vizuri.serikali KAMWE haionei mtu.sio matukio yote mhusanishe Ni serikali.kama mnakumbuka Patric lumumba aliuwawa.hizi kazi Zina changamoto usalama wetu na amani Ni ushirikiano.mkumbuke polisi wanafanya kazi yenye changamoto.huko ndani ya serikali Kuna sirikali.baada ya sokoine anayefuata kwa utendaji kazi katika viongozi wakubwa wote Ni Magufuli pekee.vitendo dhidi ya maneno.

Si ndo deni la Taifa limefikia Trioli 62. au ni Nchi nyingine ile maana JK ameondoka deni likiwa Tril. 42 lakini ndani ya miaka 3 kwa Magu deni limefika Tril. 62. Hilo ndo Nchi kuwa na hela?
 
Back
Top Bottom