viongozi wa aina hii ya Sumaye ni hatari sana

Danniair

JF-Expert Member
Feb 18, 2011
360
66
[h=2]Mtanzania
''Sumaye aibomoa Takukuru [/h]Jumatatu, Mei 28, 2012 08:39 Na Arodia Peter


*Adai wakiitegemea mapambano ya rushwa yatakuwa magumu
*Awataka Watanzania wawe na usajiri wa kukataa ufisadi
*Asema viongozi wanaoingia madarakani kwa rushwa hawafai
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, amesema Watanzania wasitarajie
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), ndiyo iwasaidie
kupambana na vitendo vya rushwa, kwani watakuwa wanapoteza muda.

Akizungumza katika ibada ya kuombea taifa, iliyoandaliwa na Kanisa la Ufufuo na Uzima, Kawe mjini
Dar es Salaam jana, Sumaye alisema kama Watanzania wasipokuwa na ujasiri wa kupambana na vitendo
vya rushwa na ufisadi, nchi itaangamia. ''

Sikutetemea mwanzilishi wa chombo hiki leo akipige mateke, chombo ambacho akiwa waziri mkuu
alikitetea kwa nguvu zake zote. Nadhani Hosea wakati umefika uibue yale madudu yao hata watakapoona
kuwa chombo kinafaa. Kwani walikunyima meno ili usiwakamate. Sasa Hosea lilia meno ili wakuheshimu.
 
Sumaye amesema ukweli mtupu, kuna watu waliingia madarakani kwa rushwa sasa tunaona serikali inawashinda kuiendesha maana hela za watu zilitumika, hujui hilo??? Pili unataka Sumaye awambie watz kuwa woga mbele ya mafisadi???

Tatu hadi sasa mapambano ya rushwa ni magumu, ulitaka aseme ni mepesi wakati hata presida kanywea, hudhani ni magumu???

Maige anaposema majangiri wananguvu hata ya kumng'oa mtu uwaziri, huelewi maana yake??? waziri anateuliwa na rais, leo jangiri ananguvu ya kumtoa waziri, huelewi Maige anasema nini??? rais anaushirika wa karibu na jangiri kuliko waziri wake, funguka kichwani sio mdomoni.:israel:
 
Mtanzania
''Sumaye aibomoa Takukuru


Jumatatu, Mei 28, 2012 08:39 Na Arodia Peter


*Adai wakiitegemea mapambano ya rushwa yatakuwa magumu
*Awataka Watanzania wawe na usajiri wa kukataa ufisadi
*Asema viongozi wanaoingia madarakani kwa rushwa hawafai
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, amesema Watanzania wasitarajie
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), ndiyo iwasaidie
kupambana na vitendo vya rushwa, kwani watakuwa wanapoteza muda.

Akizungumza katika ibada ya kuombea taifa, iliyoandaliwa na Kanisa la Ufufuo na Uzima, Kawe mjini
Dar es Salaam jana, Sumaye alisema kama Watanzania wasipokuwa na ujasiri wa kupambana na vitendo
vya rushwa na ufisadi, nchi itaangamia. ''

Sikutetemea mwanzilishi wa chombo hiki leo akipige mateke, chombo ambacho akiwa waziri mkuu
alikitetea kwa nguvu zake zote. Nadhani Hosea wakati umefika uibue yale madudu yao hata watakapoona
kuwa chombo kinafaa. Kwani walikunyima meno ili usiwakamate. Sasa Hosea lilia meno ili wakuheshimu.

Mkuu Danniair sasa hapo Sumaye kakosea wapi? Ukweli wote kuhusu utendaji wa takukuru wote tunaujua sasa kuwataka takukuru kuibua madudu ya Sumaye na wenzake leo ni uzandiki ambao hauwezi kuisaidia takukuru wala yeyote. Kama akina Sumaye waliinyima meno takukuru hao waliofuata wameipa meno kiasi gani? Acheni ukweli usemwe.
 
Mtanzania
''Sumaye aibomoa Takukuru


Jumatatu, Mei 28, 2012 08:39 Na Arodia Peter


*Adai wakiitegemea mapambano ya rushwa yatakuwa magumu
*Awataka Watanzania wawe na usajiri wa kukataa ufisadi
*Asema viongozi wanaoingia madarakani kwa rushwa hawafai
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, amesema Watanzania wasitarajie
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), ndiyo iwasaidie
kupambana na vitendo vya rushwa, kwani watakuwa wanapoteza muda.

Akizungumza katika ibada ya kuombea taifa, iliyoandaliwa na Kanisa la Ufufuo na Uzima, Kawe mjini
Dar es Salaam jana, Sumaye alisema kama Watanzania wasipokuwa na ujasiri wa kupambana na vitendo
vya rushwa na ufisadi, nchi itaangamia. ''

Sikutetemea mwanzilishi wa chombo hiki leo akipige mateke, chombo ambacho akiwa waziri mkuu
alikitetea kwa nguvu zake zote. Nadhani Hosea wakati umefika uibue yale madudu yao hata watakapoona
kuwa chombo kinafaa. Kwani walikunyima meno ili usiwakamate. Sasa Hosea lilia meno ili wakuheshimu.
Hivi unafikiri wao hawayajui madudu ya Hosea?
 
Ni lini anasema chochote kuhusu hili(soma attachment) lilioweka mizizi ndani ya eneo ambalo yeye alikuwa mbunge kwa muda mrefu? Mungu hakejeliwi siku moja Mwenyezi Mungu atasikia sala na maombi ya watu walioshikiwa chini under his watch! Aache kujifanya mzalendo kanisani wakati nje ya kanisa dunia inamjua vizuri.

:evil:


Mtanzania
''Sumaye aibomoa Takukuru


Jumatatu, Mei 28, 2012 08:39 Na Arodia Peter


*Adai wakiitegemea mapambano ya rushwa yatakuwa magumu
*Awataka Watanzania wawe na usajiri wa kukataa ufisadi
*Asema viongozi wanaoingia madarakani kwa rushwa hawafai
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, amesema Watanzania wasitarajie
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), ndiyo iwasaidie
kupambana na vitendo vya rushwa, kwani watakuwa wanapoteza muda.

Akizungumza katika ibada ya kuombea taifa, iliyoandaliwa na Kanisa la Ufufuo na Uzima, Kawe mjini
Dar es Salaam jana, Sumaye alisema kama Watanzania wasipokuwa na ujasiri wa kupambana na vitendo
vya rushwa na ufisadi, nchi itaangamia. ''

Sikutetemea mwanzilishi wa chombo hiki leo akipige mateke, chombo ambacho akiwa waziri mkuu
alikitetea kwa nguvu zake zote. Nadhani Hosea wakati umefika uibue yale madudu yao hata watakapoona
kuwa chombo kinafaa. Kwani walikunyima meno ili usiwakamate. Sasa Hosea lilia meno ili wakuheshimu.
 

Attachments

  • mwananchi paper.jpg
    mwananchi paper.jpg
    146.2 KB · Views: 44
Out of topic kidogo..this guy like a month ago alikuja kanisani kwetu kaita ufunguzi wa jengo kama mmoja wa wageni rasmi...by that time jumapili hiyo nadhani mchana kulikuwa namechi ya simba na alikuwa mgeni rasmi pia katika mechi hiyo..sasa ili kupata mwanya wa kwenda kwenye mechi akadangaya umma wote bila kujua pia kuna waumini wengine wenye ufahamu wa hayo mambo eti ana ratiba nyingine katika kanisa jingine , kwahiyo hataweza kukaa sana hapo church..akaaga..mdau na mimi nikajitosa uwanjani..namkuta kama mgeni rasmi..nikasema kulikuwa na haja gani kwa kiongozi mkubwa kama yeye kuwadangaya waumini kuwa anakwenda kanisa jingine kumbe anakwenda uwanjani??
 
Out of topic kidogo..this guy like a month ago alikuja kanisani kwetu kaita ufunguzi wa jengo kama mmoja wa wageni rasmi...by that time jumapili hiyo nadhani mchana kulikuwa namechi ya simba na alikuwa mgeni rasmi pia katika mechi hiyo..sasa ili kupata mwanya wa kwenda kwenye mechi akadangaya umma wote bila kujua pia kuna waumini wengine wenye ufahamu wa hayo mambo eti ana ratiba nyingine katika kanisa jingine , kwahiyo hataweza kukaa sana hapo church..akaaga..mdau na mimi nikajitosa uwanjani..namkuta kama mgeni rasmi..nikasema kulikuwa na haja gani kwa kiongozi mkubwa kama yeye kuwadangaya waumini kuwa anakwenda kanisa jingine kumbe anakwenda uwanjani??

unajuaje mechi ya Simba ilikuwa ni part ya ibada zake?
 
Kiukweli pale kwa Hosea inabidi kufumuliwe upya kuanzia juu mpaka chini lakini najua Ba Riz hawez maana Hosea ni Mshkaji wake. Labda tusubiri Rais ajaye kama akitokea chama kingine. Jiulize Kesi ya Mengi vs Mafisadi Papa amabyo jamaa walisema wanaishughulikia imeishia wapi?lo wasa na richmond? bongo kwa awamu hii ya uongozi ni tambarare. vyeo vinapewa kishkaji so mtu akiingia hana wasi wasi anakulaaaaa ila akizidisha sana anatolewa kafara ili kutuliza umma (CHADEMA) halafu wanaendelea kula kama kawa.
 
Mkuu Danniair sasa hapo Sumaye kakosea wapi? Ukweli wote kuhusu utendaji wa takukuru wote tunaujua sasa kuwataka takukuru kuibua madudu ya Sumaye na wenzake leo ni uzandiki ambao hauwezi kuisaidia takukuru wala yeyote. Kama akina Sumaye waliinyima meno takukuru hao waliofuata wameipa meno kiasi gani? Acheni ukweli usemwe.
Inaelekea Dannair ndio Hosea mwenyewe!
 
Hamieni Airtel tumalize kazi. Wa zee wa anga M4C. Tuko Mtwara saizi. Msipoteze muda kusikiliza uozo wa CCM na makada wake.
 
Yeye alikopa mamilioni NSSF wakati sio mwanachama na alinunulia mashamba Kibaigwa,Je nani alimuruhusu kukopa fedha za wanachama,je NSSF inatoa huduma za mikopo,kama hapana kwanini yeye alipewa?Je alilipa na riba?ameisha rudisha hizo fedha.PLEASE IF YOU LIVE IN A GLASS HOUSE NEVER THROW A STONE TO YOUR NEIGHBOUR
 
Back
Top Bottom