[h=2]Mtanzania
''Sumaye aibomoa Takukuru [/h]Jumatatu, Mei 28, 2012 08:39 Na Arodia Peter
*Adai wakiitegemea mapambano ya rushwa yatakuwa magumu
*Awataka Watanzania wawe na usajiri wa kukataa ufisadi
*Asema viongozi wanaoingia madarakani kwa rushwa hawafaiWAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, amesema Watanzania wasitarajie
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), ndiyo iwasaidie
kupambana na vitendo vya rushwa, kwani watakuwa wanapoteza muda.
Akizungumza katika ibada ya kuombea taifa, iliyoandaliwa na Kanisa la Ufufuo na Uzima, Kawe mjini
Dar es Salaam jana, Sumaye alisema kama Watanzania wasipokuwa na ujasiri wa kupambana na vitendo
vya rushwa na ufisadi, nchi itaangamia. ''
Sikutetemea mwanzilishi wa chombo hiki leo akipige mateke, chombo ambacho akiwa waziri mkuu
alikitetea kwa nguvu zake zote. Nadhani Hosea wakati umefika uibue yale madudu yao hata watakapoona
kuwa chombo kinafaa. Kwani walikunyima meno ili usiwakamate. Sasa Hosea lilia meno ili wakuheshimu.
''Sumaye aibomoa Takukuru [/h]Jumatatu, Mei 28, 2012 08:39 Na Arodia Peter
*Adai wakiitegemea mapambano ya rushwa yatakuwa magumu
*Awataka Watanzania wawe na usajiri wa kukataa ufisadi
*Asema viongozi wanaoingia madarakani kwa rushwa hawafaiWAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, amesema Watanzania wasitarajie
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), ndiyo iwasaidie
kupambana na vitendo vya rushwa, kwani watakuwa wanapoteza muda.
Akizungumza katika ibada ya kuombea taifa, iliyoandaliwa na Kanisa la Ufufuo na Uzima, Kawe mjini
Dar es Salaam jana, Sumaye alisema kama Watanzania wasipokuwa na ujasiri wa kupambana na vitendo
vya rushwa na ufisadi, nchi itaangamia. ''
Sikutetemea mwanzilishi wa chombo hiki leo akipige mateke, chombo ambacho akiwa waziri mkuu
alikitetea kwa nguvu zake zote. Nadhani Hosea wakati umefika uibue yale madudu yao hata watakapoona
kuwa chombo kinafaa. Kwani walikunyima meno ili usiwakamate. Sasa Hosea lilia meno ili wakuheshimu.