Viongozi wa Afrika Umoja wa Mataifa hauwajali ,achaneni nao,mnapuuzwa mno,nashukuru Rais wangu Magufuli kutohudhuria

Yaani wazungu wakae wanamsikiliza mnangagwa au Kabudi ? ili? kuna chochote cha mno wanachoweza kusema katika siasa za dunia?

Watu wanahitaji kusikia maswala makubwa makubwa ya siasa za ulimwengu, uchumi wa dunia, habari za kijeshi na kiusalama nk..

Sasa kabudi kafika pale kaanza kumwaga ilani ya chama...mara sijui tumejenga vyoo kumi... wtf!

Hata mimi nisingekaa kusikiliza ule upuuzi!
 
Yaani wazungu wakae wanamsikiliza mnangagwa au Kabudi ? ili? kuna chochote cha mno wanachoweza kusema kweli katika siasa za dunia?

Watu wanahitaji kusikia maswala makubwa makubwa ya siasa za ulimwengu, uchumi wa dunia, habari za kijeshi na kiusalama nk..

Sasa kabudi kafika pale kaanza kumwaga ilani ya chama...mara sijui tumejenga vyoo kumi... wtf!

Hata mimi nisingekaa kusikiliza ule upuuzi!
mzungu hawezi kukaa kusikiliza mashudu ya sithole.
 
Yaani wakae kusikiliza ujenzi wa vyoo na vijiji vya Tanzania vilivyounganishwa kwa umeme? Au wamsikilize Kabudi akiwaambia kuwa vyama vya siasa vyote Tanzania vipo huru kufanya shughuli zao za siasa bila kubughudhiwa na serikali, wakati wanajua kuwa ni uwongo?

Viongozi wa Afrika wakitaka waheshimiwe ni vema kwanza huko kwenye mataifa yao wawaheshimu watu wao.

Hotuba hizi za uwongo na upuuzi, wazitoe kwa hao watu kwenye mataifa yao maana huko wana uwezo wa kuwaandikia wafanyakazi wote kuwa lazima wahudhurie.

Mikutano mikubwa kama hii viongozi wanaenda kujifunza kutoka kwa wengine na kuwafundisha wengine. Ni mikutano kwaajili ya civilized world. Alama ya kwanza ya mtu civilized ni kutambua thamani ya utu wa mwanadamu. Mathalani wewe ukawa unatesa watu wako, unafunga kwa kuwaonea watu wako, unawateka watu wako, unawaua au kuwapoteza watu wako - hicho ni kiwango cha juu kabisa cha primitivity ambacho hata sokwemtu hafanyi. Je, watu civilized unatarajia watapoteza muda wao kukusikiliza? Viongozi na tawala kwa ujumla za mataifa mengi ni matatizo makubwa.
 
lakini si viti vimenufaika kwa namna moja au nyingine,,,,ila ningekuwa mimi ningeahirisha tena katikati ya hotuba narudi zangu gesti kutafuta mtoto mkalee wa kimarekani anipe burudani
Hahaha.. mawazo yako ni balaa
 
Sasa kama kiongozi anahutubia UN-GA utafikiri anatoa ripoti ya mfuko wa kupambana na malaria wa Bill and Mellinda Gates ulitegemea nani amsikilize?

Hebu leteni video za enzi hizo wakati akina Nyerere wakihutubia tuone kama hamna wazungu
 
Yaani wakae kusikiliza ujenzi wa vyoo na vijiji vya Tanzania vilivyounganishwa kwa umeme? Au wamsikilize Kabudi akiwaambia kuwa vyama vya siasa vyote Tanzania vipo huru kufanya shughuli zao za siasa bila kubughudhiwa na serikali, wakati wanajua kuwa ni uwongo?

Viongozi wa Afrika wakitaka waheshimiwe ni vema kwanza huko kwenye mataifa yao wawaheshimu watu wao.

Hotuba hizi za uwongo na upuuzi, wazitoe kwa hao watu kwenye mataifa yao maana huko wana uwezo wa kuwaandikia wafanyakazi wote kuwa lazima wahudhurie.

Mikutano mikubwa kama hii viongozi wanaenda kujifunza kutoka kwa wengine na kuwafundisha wengine. Ni mikutano kwaajili ya civilized world. Alama ya kwanza ya mtu civilized ni kutambua thamani ya utu wa mwanadamu. Mathalani wewe ukawa unatesa watu wako, unafunga kwa kuwaonea watu wako, unawateka watu wako, unawaua au kuwapoteza watu wako - hicho ni kiwango cha juu kabisa cha primitivity ambacho hata sokwemtu hafanyi. Je, watu civilized unatarajia watapoteza muda wao kukusikiliza? Viongozi na tawala kwa ujumla za mataifa mengi ni matatizo makubwa.
Juzi juzi hapa huyo mnagangwa aliwamwaga wanajeshi mtaani wakawauwa akina mama na vikongwe!

Nikawa namsikiliza hapo UN nijue anaongea nini.... kwanza hajui hata kutamka maneno, sifahamu alikuwa anazungumza Kiingereza au lugha gani!

Najaribu tu kuunganisha dots za ignorance aliyonayo mnagangwa na vitendo anavyovifanya!
 
Back
Top Bottom