Viongozi wa Afrika na ulinzi wa ajabu

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Wakati mwingine unajiuliza hawa watu wanaogopa kitu gani haswa wakiwa nchini mwao.!

Umechaguliwa na wananchi wako tena kwa kishindo ukiingia madarakani unajiwekea ulinzi wa kutisha inasaidia nini?

Huyu chini ni kiongozi wa nchi jirani yetu ambaye kwenye msafara wake anatumia magari zaidi ya 200 na mandege huku walinzi wake wakiwa na silaha kali za kivita.
Screenshot_20191011-122855.jpeg
 
Wakati mwingine unajiuliza hawa watu wanaogopa kitu gani haswa wakiwa nchini mwao.!

Umechaguliwa na wananchi wako tena kwa kishindo ukiingia madarakani unajiwekea ulinzi wa kutisha inasaidia nini?

Huyu chini ni kiongozi wa nchi jirani yetu ambaye kwenye msafara wake anatumia magari zaidi ya 200 na mandege huku walinzi wake wakiwa na silaha kali za kivita. View attachment 1230492
FB_IMG_1549781877339.jpg
 
Wasipolindwa watadhuriwa na maadui wao kisiasa.

Ambatana nami kwenye mifano hii michache labda unaweza pata kitu hapo.

1. Omary (radhi za Allah ziwe juu yake) alikua kiongozi asiyetaka kulindwa wala kutwezwa. Ilifikia wakati wageni walikua wakija kumtembelea wanakuta kalala chini ya mti peke take.

Huyu alikua Khalifa wa puli baada ya Abubakar Swadiq.

Aliuwawa akiwa anaongoza swala ya fajr.

2. Thomas Sankara rais wa Bukinafasso aliyefanya makubwa kwa nchi yake kiasi kwamba alikua akitembelea baiskeli na baada ya kushauria akanunua gari aina ya Renault ambayo ni gari ya Bei ya chini sana.

Thomas alileta mapinduzi ya kilimo na uchumi, akaibadili jina la nchi toka UPPER VOLTER kuwa BUKINAFASO, ndani ya miaka minne ya utawala wake BUKINAFASO walijitosheleza kwa chakula, akawainua wanawake.

Wakamuua.

3.Tafar Macnon (Haille Sellasie) aliyekua Rais wa Ethiopia, ndiye mwanzilishi wa OAU sasa AU, aliyelifufua SHIRIKA la ndege la Ethiopian Airline (moja ya mashiika makubwa ya ndege barani Afrika) aliyewatetemesha wazungu kwa hoja, hakupenda kuwa na ulinzi mkubwa kwakua aliamini yeye ni mtenda haki.

Walimuua na kumzika Chooni, mnamo mwaka 2000 ndio alizikwa tena kwa heshima kama Rais.

Mwalim Nyerere alinusurika kupinduliwa mwaka 1964, na ukiachungua kwa undani ni kwakua alikua haamini katika kulindwa na binadamu.

NB
Katika historia ya Taifa la Marekani Barak Hussein Obama ni miongoni mwa maraisi waliokua na ulinzi wa hali ya juu sana wakihofia usalama wake.

Mimi na wewe kwakua hatuko kwenye mfumo na hatuwezi ku analyse Security threats, tusiwe na mtizamo hasi juu ya upinzi wanaopewa viongozi wetu.
 
Wasipolindwa watadhuriwa na maadui wao kisiasa.

Ambatana nami kwenye mifano hii michache labda unaweza pata kitu hapo.

1. Omary (radhi za Allah ziwe juu yake) alikua kiongozi asiyetaka kulindwa wala kutwezwa. Ilifikia wakati wageni walikua wakija kumtembelea wanakuta kalala chini ya mti peke take.

Huyu alikua Khalifa wa puli baada ya Abubakar Swadiq.

Aliuwawa akiwa anaongoza swala ya fajr.

2. Thomas Sankara rais wa Bukinafasso aliyefanya makubwa kwa nchi yake kiasi kwamba alikua akitembelea baiskeli na baada ya kushauria akanunua gari aina ya Renault ambayo ni gari ya Bei ya chini sana.

Thomas alileta mapinduzi ya kilimo na uchumi, akaibadili jina la nchi toka UPPER VOLTER kuwa BUKINAFASO, ndani ya miaka minne ya utawala wake BUKINAFASO walijitosheleza kwa chakula, akawainua wanawake.

Wakamuua.

3.Tafar Macnon (Haille Sellasie) aliyekua Rais wa Ethiopia, ndiye mwanzilishi wa OAU sasa AU, aliyelifufua SHIRIKA la ndege la Ethiopian Airline (moja ya mashiika makubwa ya ndege barani Afrika) aliyewatetemesha wazungu kwa hoja, hakupenda kuwa na ulinzi mkubwa kwakua aliamini yeye ni mtenda haki.

Walimuua na kumzika Chooni, mnamo mwaka 2000 ndio alizikwa tena kwa heshima kama Rais.

Mwalim Nyerere alinusurika kupinduliwa mwaka 1964, na ukiachungua kwa undani ni kwakua alikua haamini katika kulindwa na binadamu.

NB
Katika historia ya Taifa la Marekani Barak Hussein Obama ni miongoni mwa maraisi waliokua na ulinzi wa hali ya juu sana wakihofia usalama wake.

Mimi na wewe kwakua hatuko kwenye mfumo na hatuwezi ku analyse Security threats, tusiwe na mtizamo hasi juu ya upinzi wanaopewa viongozi wetu.
'Mwalim Nyerere alinusurika kupinduliwa mwaka 1964,'

Na ilibidi Mwl Nyerere kuwapigia simu mabeberu wa kiingereza kuomba msaada ili asipinduliwe, kikatumwa kikosi cha mabeberu kuja kumpiga tafu.
 
'Mwalim Nyerere alinusurika kupinduliwa mwaka 1964,'

Na ilibidi Mwl Nyerere kuwapigia simu mabeberu wa kiingereza kuomba msaada ili asipinduliwe, kikatumwa kikosi cha mabeberu kuja kumpiga tafu.
Alitaka kupinduliwa na nchi jirani ?
 
'Mwalim Nyerere alinusurika kupinduliwa mwaka 1964,'

Na ilibidi Mwl Nyerere kuwapigia simu mabeberu wa kiingereza kuomba msaada ili asipinduliwe, kikatumwa kikosi cha mabeberu kuja kumpiga tafu.
Alitaka kupinduliwa na nchi jirani?
 
Wakati mwingine unajiuliza hawa watu wanaogopa kitu gani haswa wakiwa nchini mwao.!

Umechaguliwa na wananchi wako tena kwa kishindo ukiingia madarakani unajiwekea ulinzi wa kutisha inasaidia nini?

Huyu chini ni kiongozi wa nchi jirani yetu ambaye kwenye msafara wake anatumia magari zaidi ya 200 na mandege huku walinzi wake wakiwa na silaha kali za kivita. View attachment 1230492
Sio wote mbona yule wa nchi jirani tunapigaga nae stori kijiweni
 
Wasipolindwa watadhuriwa na maadui wao kisiasa.

Ambatana nami kwenye mifano hii michache labda unaweza pata kitu hapo.

1. Omary (radhi za Allah ziwe juu yake) alikua kiongozi asiyetaka kulindwa wala kutwezwa. Ilifikia wakati wageni walikua wakija kumtembelea wanakuta kalala chini ya mti peke take.

Huyu alikua Khalifa wa puli baada ya Abubakar Swadiq.

Aliuwawa akiwa anaongoza swala ya fajr.

2. Thomas Sankara rais wa Bukinafasso aliyefanya makubwa kwa nchi yake kiasi kwamba alikua akitembelea baiskeli na baada ya kushauria akanunua gari aina ya Renault ambayo ni gari ya Bei ya chini sana.

Thomas alileta mapinduzi ya kilimo na uchumi, akaibadili jina la nchi toka UPPER VOLTER kuwa BUKINAFASO, ndani ya miaka minne ya utawala wake BUKINAFASO walijitosheleza kwa chakula, akawainua wanawake.

Wakamuua.

3.Tafar Macnon (Haille Sellasie) aliyekua Rais wa Ethiopia, ndiye mwanzilishi wa OAU sasa AU, aliyelifufua SHIRIKA la ndege la Ethiopian Airline (moja ya mashiika makubwa ya ndege barani Afrika) aliyewatetemesha wazungu kwa hoja, hakupenda kuwa na ulinzi mkubwa kwakua aliamini yeye ni mtenda haki.

Walimuua na kumzika Chooni, mnamo mwaka 2000 ndio alizikwa tena kwa heshima kama Rais.

Mwalim Nyerere alinusurika kupinduliwa mwaka 1964, na ukiachungua kwa undani ni kwakua alikua haamini katika kulindwa na binadamu.

NB
Katika historia ya Taifa la Marekani Barak Hussein Obama ni miongoni mwa maraisi waliokua na ulinzi wa hali ya juu sana wakihofia usalama wake.

Mimi na wewe kwakua hatuko kwenye mfumo na hatuwezi ku analyse Security threats, tusiwe na mtizamo hasi juu ya upinzi wanaopewa viongozi wetu.
Ungesema na wale Simba wa Haile Sellasie walivyokuwa wanalishwa vizuri ungeeleweka.

Msiongeze chumvi hizi story wote tunazijua.

Mi naona wahusika wanaogopa kifo na kuzeeka kuliko kitu kingine chochote ila basi hawana jinsi. Ndio maana hata wakiumwa hata ugonjwa wa kawaida tu ni siri kubwa
 
'Mwalim Nyerere alinusurika kupinduliwa mwaka 1964,'

Na ilibidi Mwl Nyerere kuwapigia simu mabeberu wa kiingereza kuomba msaada ili asipinduliwe, kikatumwa kikosi cha mabeberu kuja kumpiga tafu.
Japo aliwaponda mabeberu majukwaani lkn kiuhalisia alishindwa kataa misaada yao like copy na paste nchi hii ni tajiri
 
Back
Top Bottom