Wakuu
Hivi hua ni sifa kwa kiongozi mkubwa akiwa anahutubia wananchi mifano yake baadhi anaitoa ikihusianisha na masuala ya ngono hua najiuliza ni kukosa jambo la kuongea au akili zao zinawaza ngono tu?
Sasa kwa mfano nisafiri kutoka mpitimbi kuja songea kumsikiliza kiongozi halafu anachohutubia hata hakieleweki zaidi anachomekea maneno ya ngono utadhani ndio ujumbe mahsusi ambao wananchi wanautaka.
Nadhani viongozi wetu wabadilike maana sio kila mwananchi hupenda kusikia maneno ya ngono isipokua anapokua kwenye eneo husika.
Unapohutubia watu jipange na uongee mambo ya maana ili wakuelewe sasa hapo hua mtu unaangalia kisaikolojia unabaki unaumia unasema bado tunasafari ndefu sana.
Hivi hua ni sifa kwa kiongozi mkubwa akiwa anahutubia wananchi mifano yake baadhi anaitoa ikihusianisha na masuala ya ngono hua najiuliza ni kukosa jambo la kuongea au akili zao zinawaza ngono tu?
Sasa kwa mfano nisafiri kutoka mpitimbi kuja songea kumsikiliza kiongozi halafu anachohutubia hata hakieleweki zaidi anachomekea maneno ya ngono utadhani ndio ujumbe mahsusi ambao wananchi wanautaka.
Nadhani viongozi wetu wabadilike maana sio kila mwananchi hupenda kusikia maneno ya ngono isipokua anapokua kwenye eneo husika.
Unapohutubia watu jipange na uongee mambo ya maana ili wakuelewe sasa hapo hua mtu unaangalia kisaikolojia unabaki unaumia unasema bado tunasafari ndefu sana.