engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
nawapongeza viongozi hawa kwa hili,wamedumisha mila na utamaduni wetu uliopotea enzi hizo,kwa kusema kuwa ni wa kishenzi
Dah!!jamaa wametengeneza utulivu wakutosha tu...tehetehetehe!!!!!!.:hatari:nawapongeza viongozi hawa kwa hili,wamedumisha mila na utamaduni wetu uliopotea enzi hizo,kwa kusema kuwa ni wa kishenzi
Thats Dr. Balele, pamoja na udaktari wake bingwa bado hana jibu la matatizo ya kiafya yanayomsibu.
Hapo ndio mjue babu anatisha, bila kujali huduma ya babu imetokea wapi.
Kandoro naona anapiga sala kwanza kabla hajatumia "finished product". Hahahahaaa!