COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,808
Nina shauri kwa suala la Wamachinga, Viongozi mtafuteni Rehema Nchimbi awasaidie ushauri na jinsi ya kuweka utaratibu mzuri katika kuwapanga machinga.
Kwani Mama huyu aliweza kutenga maeneo, kupanga na kuweka utaratibu mzuri Sana kwa machinga wa Dodoma, kipindi akiwa Mkuu wa mkoa. Tulifanya biashara kwa Uhuru, na amani ilitawala kwa machinga, raia watu wa kawaida na wafanyabiashara nyingine.
Kwani Mama huyu aliweza kutenga maeneo, kupanga na kuweka utaratibu mzuri Sana kwa machinga wa Dodoma, kipindi akiwa Mkuu wa mkoa. Tulifanya biashara kwa Uhuru, na amani ilitawala kwa machinga, raia watu wa kawaida na wafanyabiashara nyingine.