G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,543
- 8,394
Nguvu ipi na ya kufanya nini mahuni tu hayoMungu awape nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguvu ipi na ya kufanya nini mahuni tu hayoMungu awape nguvu
Hao sasa hivi wana mzuka usipimeMungu awape nguvu
Ungekuwa na utimamu wa akili, Lowassa asingekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema, wakati miaka 10 mnatangaza ni fisadi, nyie ni misukule ya Mbowe hamuwezi tumia akili zenu
Na Jifunza kuwa vijana wengi wa chadema ni Askari midomo tuu, hawana faida yeyote kwenye jamii zaidi ya kupiga domoWakiswekwa tena ndani unafaidika vipi?
Amandla...
Hii ndio dawa ya watu wakaidi , maana kiswahili hawaelewiDuh kwa akili hizi nchi ina safari ndefu sana.!
Katiba mpya sio kipaumbele kwa sasa, Rais ameshasema sasa waendelee kuleta ujeuri, kuna watu kwao kiswahili ni tatizoHawabishii kila kitu,wanadai kitu kimoja tu Katiba mpya,tatizo yaliyopo Madarakani ni majizi
Nani akuletee katiba mpya? endelea kusubiri embe chini ya mpapaiHilo wataacha tu siku mkiamua kutuletea katiba mpya.
Uongo!Maisha haya. Mwanza leo wanapelekewa kongamano la katiba!
Nipo Mwanza.wenyewe wanamuona Mbowe ni msaliti kwa kumchongea Sabaya. Tena wamefurahi wanasemaje dawa ya Moto Ni moto. Mbowe abadilishe tactics za confrontation.
Mama amechukua point, tena za bure kwa wana wa kulinda Legacy.
Anaendelea kuupiga mwingi.
Kwa hiyo unataka watu wano sema ndio kwa kila kitu.emu jaribu kutoa wazo kwenye familia yako au kwenu upime kama kila MTU atakubaliana na wewe.kama atakuwepo basis jua hata dunia ya sasa huwezi kumpata katika nyanja yoyote ile.Wakileta tena ujinga sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Huna akili !!. Wazazi wamekula hasaraWakileta tena ujinga sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Hicho kicho kwanini unakitumia tu kama boks la kupandia nywele? Si ukitumie kuwaza walau kidogo?Wakileta tena ujinga sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Shetani ni nunda mla watu. Atakuambia kwa sababu ulimtukana miaka 30 iliyopita. Ukimwuliza umri wake ni miaka 20, atasema ulitukana wazazi wake. Ukimwambia umri wangu miaka 28, atasema babu yako alitukana babu zangu, lazima uliwe. Tatizo ni njaa, wala siyo sababu ya kuliwa.Sasa ni wabishi sio magaidi tena??
sweka mama yako mpuuzi mkubwaWakileta tena ujinga sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Tatizo tunaongoza na watu wasio na maadiliWakileta tena ujinga sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Wamebanaa ..... Wameachiaaa....WALIOACHIWA KWA UPANDE WA MWANZA NI:-
(1). John Heche.
(2). Zakaria Obard.
(3). Stephen Odipo.
(4). Daud Zephaniah.
(5). Seti Benda.
(6). David Nyakimwe.
(7). Frank Novarth.
(8). Mbutosyo Mwakihaba.
Ila Mhe. John Heche yuko Hospital, Mwanza.
Zaidi, soma:
- Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani
Na wewe una faida gani zaidi yao?Na Jifunza kuwa vijana wengi wa chadema ni Askari midomo tuu, hawana faida yeyote kwenye jamii zaidi ya kupiga domo
Ni kweli mkuu lakini wakitaka twende kindezindezi basi hakuna jinsi.Bora wameachiliwa, kuna vitu sio vya kuwekana mahabusu kwenye nchi za kidemokrasia
Bora UmeelewaShetani ni nunda mla watu. Atakuambia kwa sababu ulimtukana miaka 30 iliyopita. Ukimwuliza umri wake ni miaka 20, atasema ulitukana wazazi wake. Ukimwambia umri wangu miaka 28, atasema babu yako alitukana babu zangu, lazima uliwe. Tatizo ni njaa, wala siyo sababu ya kuliwa.