Viongozi nane wa CHADEMA waachiwa huru

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,491
54,884
Maisha haya. Mwanza leo wanapelekewa kongamano la katiba!

Nipo Mwanza.wenyewe wanamuona Mbowe ni msaliti kwa kumchongea Sabaya kipenzi Cha mwendazake. Tena wamefurahi wanasemaje dawa ya Moto Ni moto. Mbowe na cdm wabadilishe tactics za confrontation na ku-attack kabila au dini za kiongozi aliye madarakani (ilikuwa wasukuma Sasa waislamu).

Mama amechukua point, tena za bure kwa wana wa kulinda Legacy.

Anaendelea kuupiga mwingi.
 
Walikosa pozi la kuendelea kuwashikilia! Maana 'gaidi' wao waliyemtafuta kwa miaka mingi, walishamkamata!

Ila polisi wa nchi hii wanapenda sana kujidhalilisha!! Rushwa wao! Kuumiza na kuwajeruhi wapinzani, wao! kuua watuhumiwa, wao! Kubambikia watu kesi, wao!! Kuwatumikia ccm, wao!

Jeshi la ajabu kabisa hili!
 
Wakileta tena ujinga , sweka tena ndani hatuwezi kuwa na watu wanabishia kila kitu
Kama kungelikuwa na sheria inayosema ukiwa nje ya ccm hutakiwi kubisha kwa kinachoamuliwa kule, kwamba ukibisha basi wewe nigaidi, watu wenye akili kama zako msingeruhusiwa hata kufungua madomo. Ilikuwa ukipiga mwayo kabla hujatoa hicho kinyesi mdomoni, unapelekewa. Pumbavu sana jitu kama wewe.
 
Walikosa pozi la kuendelea kuwashikilia! Maana 'gaidi' wao waliyemtafuta kwa miaka mingi, walishamkamata!

Ila polisi wa nchi hii wanapenda sana kujidhalilisha!! Rushwa wao! Kuumiza na kuwajeruhi wapinzani, wao! kuua watuhumiwa, wao! Kubambikia watu kesi, wao!! Kuwatumikia ccm, wao!

Jeshi la ajabu kabisa hili!
Wale wote walikuwa ni kama chambo tu,target ilikuwa ni Mbowe na mpaka sasa akitoka hataweza kuwa kiranga kama alichokuwa nacho.
 
Back
Top Bottom