Serikali hii naishangaa sana. Inatafuta wawekezaji kwa udi na uvumba, mpaka Kuna wizara ya uwekezaji. Serikali hiyo hiyo inaitangazia dunia kwamba Tanzania Kuna magaidi. Hivi Ni muwekezaji atawekeza sehemu isiyo salama? Kuna mtu ameshawahi kuwekeza Afghanistan?
Pili serikali hiyo hiyo inakataza mikusanyiko isiyo ya lazima, Cha ajabu mwenge wa Uhuru unaendelea kukimbizwa na mbio za mwenge zinakudanya vijana kweli kweli.
Pili serikali hiyo hiyo inakataza mikusanyiko isiyo ya lazima, Cha ajabu mwenge wa Uhuru unaendelea kukimbizwa na mbio za mwenge zinakudanya vijana kweli kweli.