Viongozi na wanasiasa kulia lia hadharani

bhikola

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,130
1,660
Wanandugu wa JF heshima mbele
Wamarekani na wazazi wote poleni kwa yaliyotokea shuleni kwenu
Back to topic:
Wadau hivi hii tabia hasa ya Obama kulia lia au kutoa michozi hadahrani, kwanza kama mwanaume, na pili kama kiongozi mkuu wa nchi tena kubwa duniani mnalionaje?
Binafsi naona siyo kitu kizuri hata kama umefadhaishwa namna gani, inakuwa kama anataka kuongoza kwa kuonewa huruma zaidi kuliko kuonesha mikakati ya msingi katika kutatua matatizo,
ni mawazo yangu tu jamani, waweza toa nawe maoni yako, karibuni
 
Je ulitaka acheke? Je hao watoto wasio na hatia waliouawa wangekuwa wanao ungefanya nini? Kwani kulia ni dhambi? Je anayepaswa kulia ni mwanamke tu? Mbona kucheka tunacheka wote hatuambiani mambo ya jinsia? Kwani Obama kulia akionyesha uchungu kama mzazi amevunja sheria yoyote ya Marekani? Je angecheka wewe na wenzio wenye mawazo kama hayo mngesemaje? Je ungekuwa Obama ungefanya nini?
Wanandugu wa JF heshima mbele
Wamarekani na wazazi wote poleni kwa yaliyotokea shuleni kwenu
Back to topic:
Wadau hivi hii tabia hasa ya Obama kulia lia au kutoa michozi hadahrani, kwanza kama mwanaume, na pili kama kiongozi mkuu wa nchi tena kubwa duniani mnalionaje?
Binafsi naona siyo kitu kizuri hata kama umefadhaishwa namna gani, inakuwa kama anataka kuongoza kwa kuonewa huruma zaidi kuliko kuonesha mikakati ya msingi katika kutatua matatizo,
ni mawazo yangu tu jamani, waweza toa nawe maoni yako, karibuni
 
Wanandugu wa JF heshima mbele
Wamarekani na wazazi wote poleni kwa yaliyotokea shuleni kwenu
Back to topic:
Wadau hivi hii tabia hasa ya Obama kulia lia au kutoa michozi hadahrani, kwanza kama mwanaume, na pili kama kiongozi mkuu wa nchi tena kubwa duniani mnalionaje?
Binafsi naona siyo kitu kizuri hata kama umefadhaishwa namna gani, inakuwa kama anataka kuongoza kwa kuonewa huruma zaidi kuliko kuonesha mikakati ya msingi katika kutatua matatizo,
ni mawazo yangu tu jamani, waweza toa nawe maoni yako, karibuni
Aisee acha ukuda. Yaani ukiwa kiongozi ina maana inatakiwa usiwe na hisia (moyo wa jiwe)?
 
Wanandugu wa JF heshima mbele
Wamarekani na wazazi wote poleni kwa yaliyotokea shuleni kwenu
Back to topic:
Wadau hivi hii tabia hasa ya Obama kulia lia au kutoa michozi hadahrani, kwanza kama mwanaume, na pili kama kiongozi mkuu wa nchi tena kubwa duniani mnalionaje?
Binafsi naona siyo kitu kizuri hata kama umefadhaishwa namna gani, inakuwa kama anataka kuongoza kwa kuonewa huruma zaidi kuliko kuonesha mikakati ya msingi katika kutatua matatizo,
ni mawazo yangu tu jamani, waweza toa nawe maoni yako, karibuni

Mkuu kulia hakuna jinsia, na hakuzuiliki............hapo kwenye red: ingekua uchanguzi bado labda ungesema anataka kura za huruma, sasa ni rais tayari atake huruma ya nini!!!!?
 
Je ulitaka acheke? Je hao watoto wasio na hatia waliouawa wangekuwa wanao ungefanya nini? Kwani kulia ni dhambi? Je anayepaswa kulia ni mwanamke tu? Mbona kucheka tunacheka wote hatuambiani mambo ya jinsia? Kwani Obama kulia akionyesha uchungu kama mzazi amevunja sheria yoyote ya Marekani? Je angecheka wewe na wenzio wenye mawazo kama hayo mngesemaje? Je ungekuwa Obama ungefanya nini?

Father of all, kwanza kabisa sikumaanisha acheke, hata kama aliye aliyekufa ni mhalifu so long as ni mwanadamu ni mbaya sana kwani kuishi ni haki yetu ya msingi kabisa, ninachoongelea hapa ni kuonesha emotions kwa kulia kama kiongozi mkuu wa nchi, pia kulia siyo dhambi na wala hajavunja sheria yoyote ya nchi.
Kuhusu jisinsia sikumaanisha kuwa wanaopaswa kulia ni wanawake, tatizo langu ni mahala alipo lilia, kwangu mimi kwa mwanaume kulia hadharani is a shame, ndo maana hata katika kufariji watu huambiana jikaze bana, "be a man", kwanini wasiseme be a woman? anyways kwa mtazamo wangu bado naamini kama kiongozi wa nchi alipaswa kuonesha kuumizwa na kufadhaishwa lakini si kwa kumwaga michozi kama mtoto, so nani amfariji mwenziye? ndo maana hata misibani hawalii wote walioko msibani kunakuwa na wafariji
 
Aisee acha ukuda. Yaani ukiwa kiongozi ina maana inatakiwa usiwe na hisia (moyo wa jiwe)?


Mkuu kwanza siamini kabisa katika hoja za matusi au kashfa ndugu yangu, na siamini kama kweli username yako ina lolote la kureflect identity yako. Kuwa kiongozi haimaanishi kuwa na moyo wa jiwe, bali kuwa na moyo wa utu, na moyo huo hauoneshwi kwa kulia tu na hata kulia hakumaanishi kuwa na tender heart, kama raisi naamini kabisa angekuwa na njia mbadala ya kuonesha hisia zake.
 
Mkuu kulia hakuna jinsia, na hakuzuiliki............hapo kwenye red: ingekua uchanguzi bado labda ungesema anataka kura za huruma, sasa ni rais tayari atake huruma ya nini!!!!?

Mwananchi wa kawaida, kulia hakuna jinsia lakini kuonesha hisia kwa kulia kuna mahusiano kwa jinsi fulani na jinsia, hii ni kitu inayoweza kuwa cultural zaidi, lakini ipo world wide, ndo maana watu wanaambiana, "jikaze bwana, be strong, be like a man, be strong like a man nk." hata watoto wetu hasa wa kiume huambiwa hivyo hivyo, jikaze bwana wanaume hawalii lii, acha kulia kama mwanamke" n.k
Pamoja na hayo, hata kama ameshachaguliwa, Marekani si sawa na bongo yetu mkuu ambako ukishachaguliwa hata kama uko kama alama tu au kiwakilishi utaongoza. Kama ulisikia moja ya comments za meya wa newyork alisema wanataka kusikia mikakati ya kuzuia matukio kama haya ambayo yanazidi kuongezeka marekani, kumbuka hili limekuwa termed kama tukio la 2 kuua wanafunzi wengi katika shooting za namna hiyo.
Mtazamo wangu ulikuwa kama vile viongozi wetu ambao badala ya kutatua matatizo yetu nao wanalalamika kama sisi tunaoongozwa, mwananchi ana lalamika rushwa na raisi naye analalamika rushwa, n.k.
anyway ni mtazamo tu
 
Wanandugu wa JF heshima mbele
Wamarekani na wazazi wote poleni kwa yaliyotokea shuleni kwenu
Back to topic:
Wadau hivi hii tabia hasa ya Obama kulia lia au kutoa michozi hadahrani, kwanza kama mwanaume, na pili kama kiongozi mkuu wa nchi tena kubwa duniani mnalionaje?
Binafsi naona siyo kitu kizuri hata kama umefadhaishwa namna gani, inakuwa kama anataka kuongoza kwa kuonewa huruma zaidi kuliko kuonesha mikakati ya msingi katika kutatua matatizo,
ni mawazo yangu tu jamani, waweza toa nawe maoni yako, karibuni

Pole inaoneka hujazaa
 
Back
Top Bottom