Viongozi na Wanachama wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya wakodi basi la abiria ili kumuona Freeman Mbowe gereza la Ukonga

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,378
217,454
Leo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .

Leo_Jumamosi_timu_ya_viongozi_wanachama_na_wananchi_kutoka_Mkoani_Mbeya_(26)_wamemtembelea_#Mb...jpg


Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .

Mungu ibariki Chadema
 
Leo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .

View attachment 1933571

Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .

Mungu ibariki Chadema
Kijakazi wa Mbowe unahanagaika sana.
 
Back
Top Bottom