mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,904
Viongozi na wanachama 19 wa Chadema waliofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza leo Agosti 19, wameachiwa huru kwa dhamana baada ya kusomewa shtaka lililokuwa linawakabili la kufanya fujo kanisani.
View attachment 1898829
View attachment 1898829