Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,530
- 3,433
Viongozi mara kadhaa sasa wamekuwa wakiuhadaa Umma juu ya bei za bidhaa na huduma mbalimbali. Leo kila kitu kimepanda bei karibu mara mbili jambo ambalo ni mzigo kwa Mwananchi wa kawaida.
Sukari ilipigiwa kelele lakini bado bei iliyobaki kuwa juu mpaka leo, mafuta ya kupikia ya alizeti tulikuwa tunanunua lita tano kwa shilingi 18,000/= leo ni shilingi 28,000/=
Taarifa ni nguvu leo tunauziana njia za kuweza kupata taarifa kwa bei za kukomoana. Vifurushi "bundle" bei hazieleweki kwa mfano leo mb 900 zinauzwa shilingi 2000/= Khaaa!
Sukari ilipigiwa kelele lakini bado bei iliyobaki kuwa juu mpaka leo, mafuta ya kupikia ya alizeti tulikuwa tunanunua lita tano kwa shilingi 18,000/= leo ni shilingi 28,000/=
Taarifa ni nguvu leo tunauziana njia za kuweza kupata taarifa kwa bei za kukomoana. Vifurushi "bundle" bei hazieleweki kwa mfano leo mb 900 zinauzwa shilingi 2000/= Khaaa!