Viongozi "mamluki""atcl kungolewa -waziri omary nundu (unacheza makida)

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,138
mnakumbuka
UKUTI UKUTI WA MNAZI WA MNAZI WA .... WA..... TUMPELEKE MNAZI MMOJA TUMPELEKE MNAZI MMOJA HAPO MNAZUNGUKA MPAKA KIZUNGUZUNGU YAANI KAMA NAMWONA HUYU WAZIRI ANAVYOANZA KUIMBA NA KUANZA KUPATA KIZUNGUZUNGU BAHATI NZURI AKIUMWA AENDI MNAZIMMOJA ANAPELEKWA ST THOMAS UK HIYO TOFAUTI YAKE

Majuzi gazeti moja limechekesha sana;hivi hawa mawaaziri huwa wanatumwa na kikwete kuja kuropoka ama wanaropoka ili kikwete aone wanafanya kazi kwa uhakikaa!!!waziri omar nundu alipata wasaa wa kuhojiwa na waandishi wa habari muda kuhusu shirika la ATCL...kwa kweli mwenye kujua usanii wa mawaziri sikusita kuona ama kukumbukka ule mchezo wa utototoni...nasema hivi nikimaanisha maana hawa mawziri wameanza kuongea ovyo na wengine kuanza kuumbuka

Majuzi waziri wa afya alifytukiwa na wafanyakazi wa mansipaa ya temeke na kudai ameshamwagiza mkurugenzi kufwatilia na kumpa majibu haraka sana ndani ya masaa 12
keshoye waandishi walipomfwata mh mkurugenzi akusita kusema hizo posho waziri anazipata wapi ameambiwa na nani wanaletewa na wapi maandishi ..barua nilionayo inaonyesha wenye kupata posho ni abcd...na si watu wote..kwanza kamuulizeni hiyo memo ya kujibu mnayoniambia amempa nani mi sina taarifa yoyote kuja kwake nimesoma magazetini .so mnaweza kujua wapi wanatupeleka hawa mawaziri
na hivi sasa wameazna kutungua safari za mikoani kama ugonjwa wa ukoma unavyo sambaa

Nirudi kwako mhe Omary;ni kweli yawezekana waliokushauri kuongea hivyo awakukupa info kamili ama uliamua kuongea kufurahisha watanzania na mkulu aliekuweka hapo..ukweli ni kwamba Tangu kawambwa mh waziri aliepita alishindwa kuwaondoa hao watu na wengine kumtishia kujiuzulu na kumuachia shirika na kuishia kukaa kimya ...sidhani kama kweli ulidhamiria ama kilitoka kwa bahati mbaya lakini una kazi kubwa sana ya kuliinua shirika la ATCL

Binafsi nafikiri kabla ya kuanza kuwa na mikakati ya kuinyanyuua atcl ambayo naamini bila mbia ni kazi ngumu nyingine lakini ni vizuri usisikilize wambea watakudanganya na kukkupeleka peponi huku wakiendelea kula kuku...ni vyema uwe na dhamira ya kweli...kitu tunachokushauri kwanza jaribu kuwasikiliza wafanyakazi wa ATCL na matatizo yao..utapata mambo mengi sana yanayosumbua atcl kuliko kutegemea baadhi ya watu wanaokudanganya na kuhisi akuna shida yoyote......

ATCL si shirika la kuwa na ndege mbili ndogo hata siku moja..ni kweli yawezekana watu walikula vya kutosha basi na wewe muda huu uwe makini kuhakikisha kampuni ya ATCL inabadilika...sisemi ukimbie TEN PERC hapana hiyo kula lakini uwe na uhakika shirika unampa mwenye nia ya kuliendeleza na si kulamba kama mwenzako mwandyosya na kupeleka watoto shule south africa...kingine kuwa makini sana kuna mabalozi walioiuza tanzania kwa wasouth afrika ikiwemo ATCL leo hii wanakula na kutanua na kila aina ya magari huku waliowaleta wakiiba na kuondoka ....Mh Waziri lengo langu si tu kukwambia ni vigumu maneno uliotoa ila nakuhakikishia ni ngumua hata kuliinua shirika likiwa na uongozi uliopo

Wakati Nuhu anaambiwa atengeneze safina alitengeneza nakuweka watu sahihi na ilipofika wakati mungu ameona hawa wanatosha na wanyama waliopo wanatosha MUNGU aliamua kuifunga mwenye ile Safina
unajua kwa nini ???Alijua angemwachia Nuhu pengine angemkumbuka mjomba shangazi mamakubwa mdogo ambao Mungu aliona ao sio sahihi kuendelea nao..garika ikapita.

SO kuna wakati inaitaji ujikane kweli kweli ujikane nafsi yako kama uko radhi kulinusuru hili shirika.....,kuna wakati unaitaji kuifunga safina bila kuangalia mjomba shangazi ama ata alie kuchagua atakuathiri vipi nikimaanisha pengine utaweza gusa maslahi ya mkulu...hilo ni tatizo binafsi kuna mada nyingi za kuiokoa ATCL jaribu kumuomba mode atakusaiidia sana na kujua uchafu wote mikataba michafu unayoiona inadaiwa vbillions leo hii nani alihusika na nani anaendele kulitafuna kanisa

wakati nikisoma chuo mwalimu wangu alisema m nakupa tu info mengine utatafuna mwenyewe na kweli auto unakimbilia na kukesha library kupata HATI ELIMU...mh waziri nakutakia mema katika mbio zako zisiwe sakafuni kama waziri aliepita ambae binafsi alintia kichefuchefu cha mwaka na kama ungeniambia nani asirudi basi kawambwa nisingempa hata UDIWANI..ILA UKIKUMBUKA SAFINA MAMBO YA MJOMBA UTAJUA KIKWETE ANATUPELEKA WAPI..unayo kazi kubwa sana utakuta mates shemeji za jk na wengine wote na wanatakiwa kusafishwa sasa ukitaka Mungu aje kufunga safina wala si shida kwake

Kila la kheri
 
Back
Top Bottom