JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Kila mara huwa najiuliza juu ya utumishi wa wa viongozi wa serikali ya kiteto sipati najibu yawezekana leo nikasaidiwa..
Kila mara tunashuhudia malalamiko ya wananchi wakidai haki zao kwa maana ya hidua lakini wapo watu wanaojiiya wawakilishi wa wananchi wanakazi gani
ninyi wawakilishi mnasubiri nani awawajibishe ili muwajibike hivi hili haliwezi kutatuliwa na elimu zenu au mmenunu vyeti kuna haja ya kutoa sababu?ondokeni madarakani msisubiri nguvu ya umma...
Kila mara tunashuhudia malalamiko ya wananchi wakidai haki zao kwa maana ya hidua lakini wapo watu wanaojiiya wawakilishi wa wananchi wanakazi gani
ninyi wawakilishi mnasubiri nani awawajibishe ili muwajibike hivi hili haliwezi kutatuliwa na elimu zenu au mmenunu vyeti kuna haja ya kutoa sababu?ondokeni madarakani msisubiri nguvu ya umma...