Viongozi dini wako wapi- Waumini wanachinjana Kenya?

Je Viongozi Dini Kenya wana nafasi kutatua machafuko sasa hivi?

  • Ndiyo

    Votes: 0 0.0%
  • Hapana

    Votes: 0 0.0%
  • Sina Uhakika

    Votes: 1 100.0%
  • Sijui

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    1
Status
Not open for further replies.

MzalendoHalisi

JF-Expert Member
Jun 24, 2007
4,423
1,175
Kenya kila kukicha watu wanachinjana wenyewe- karibu Wakenya wote ni Wakristo au Waislamu!

Kwa nini Viongozi wa dini wanakaa kimya na kuangalia? Wakati wa Rwanda 1994 kuna Viongozi wa dini walihusika moja kwa moja ktk yale mauaji!
Nini nafasi ya viongozi wa dini kutatua mauaji yanayoendelea Kenya?
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom