MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Katika swali la Kipimajoto jioni hii ITV wanawauliza watazamaji ;kutokana na CDM kuwajua waliorusha bomu Je Viongozi wa CHADEMA WAISAIDIE polisi ili ukweli upatikane?
Kwa swali hili ni dhahiri ITV inataka kujipambanua wako mrengo gani kisiasa na kama ni hivi au ni washiriki katika dhambi hii au wanataka kujiingiza katika malumbano yatakayo ididimiza.
Tunaojua maana ya "KUISAIDIA POLISI" ITV ina maanisha viongozi wa CHADEMA hasa Mbowe akamatwe atoe ushahidi. Hii ndio maana ya kuisaidia polisi ninayoijua kwa muktaza wa Kitanzania
Nani anataka ukweli ufahamike ni ITV ili iweje baada ya yeye siku ya tukio kuwanyima waTZ habari. Yale niliyosema ya ITV kuanza kutumika vibaya yanazidi kudhihirika waziwazi sijui ni kada gani wa CCM ameingia ubia kukiongoza hiki kituo cha ITV
Kwa swali hili ni dhahiri ITV inataka kujipambanua wako mrengo gani kisiasa na kama ni hivi au ni washiriki katika dhambi hii au wanataka kujiingiza katika malumbano yatakayo ididimiza.
Tunaojua maana ya "KUISAIDIA POLISI" ITV ina maanisha viongozi wa CHADEMA hasa Mbowe akamatwe atoe ushahidi. Hii ndio maana ya kuisaidia polisi ninayoijua kwa muktaza wa Kitanzania
Nani anataka ukweli ufahamike ni ITV ili iweje baada ya yeye siku ya tukio kuwanyima waTZ habari. Yale niliyosema ya ITV kuanza kutumika vibaya yanazidi kudhihirika waziwazi sijui ni kada gani wa CCM ameingia ubia kukiongoza hiki kituo cha ITV