MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
- Thread starter
- #61
Waulize watu wa lake zone!Lake zone mlishafanya demo gani kuwazidi Arusha?
Waulize watu wa lake zone!Lake zone mlishafanya demo gani kuwazidi Arusha?
It's well and good for northerner to get first priority on manpower and funds during campaign but when it comes to demonstration, the lake zone gets the first priority!
This is CHADEMA's way of doing politics!
Yaani kata nne ambazo ziko kwenye eneo linalojulikana kama ‘’ngome ya CHADEMA’’ zinapewa viongozi 22 wa kitaifa na wabunge wakati wa kampeni. Mwingine anaweza kusema, this is favouritism and misallocation of party resources!
Mimi ninasema, uongozi wa juu wa CHADEMA umefikia kikomo kwa sababu umekosa focus na maarifa ya kukisukuma chama mbele zaidi.
Vipi kwenye suala la upendeleo kwenye mgawanyo wa nyenzo za kazi na madaraka?Kanda ya ziwa tushawashtukia wanapenda kuleta maandamano.
Waandamnie hukohuko
Hii una uhusiano gani na hoja yangu?Wabunge wa Ccm walivyogawana milioni 10 nyie mlipewa nini? Endeleeni kuwa toilet paper.
Kujitokeza kwenye mkutano ni haki yako ya msingi lakini kuwaweka wananchi wote katika fikra zako sio haki yako.Tutajitokeza kwa wingi ili kumshangaza Gambo kuwa vitendo vyake anavyomtendea lema vinawachukiza wananchi
Kama huna hoja ni heri ukae kimya unazidi kujidharaulisha kwa watu tuliokuheshim naona hta comment yangu unaogopa kuijibu... shame on youKujitokeza kwenye mkutano ni haki yako ya msingi lakini kuwaweka wananchi wote katika fikra zako sio haki yako.
kwan huu uko huko 2 kaskazn? mm mwanaharakati wa mabadiliko lkn kwa huu utaratibu sio mzr sana,viongoz wote kujaa huko kaskazn il hal dodoma,ruvuma irnga na maeneo mengne upinzan uko week huko ndo mlipaswa kupeleka nguv nying kuliko huko kaskazn ambako tayar upinzan umekubalika! ndg Mbowe pitia jf uone watu wanavyokoment juu ya chama cdm na ukawa kunakoment n chachu kwa uhai wa chama na ukawa kwa ujumla co kila ki2 kinachoandikwa hum n hasi kwa cdm na ukawa la hasha!
Mkuu una heshima sana kwenye hili jukwaa hta kma tinatofautiana misimamo na itikadi ila naheshim maoni yako ILA unapoelekea unajishushia credibility yako humu jf maana unapeleka mawazo yako kwenye ukanda na ukabila ?? Really?? Thats so low of you.... hizi propaganda za kugawa watu kikabila na kikanda zinawatesa sana waganda na wakenya pia wanyarwamda naomba tusipande hiyo mbegu hapa kwetu maana gharama ya kurudisha umoja na mshikamano ni kubwa sana ambayo hta south sudan wameshindwa kabisa.Waulize watu wa lake zone!
Sasa kama wamekosea ccm mnalialia nin?si mfurahie,yaani mnamwambia adui mbinu ya kutumia!mikakati mibovu halafu utasikia wanalalamikia tume,kun haja gani ya kupiga kampeni''kwenu''unakobalika badala ya kwenda usikokubalika ili uuze sera na ujiwekee akiba ya baadaye ,makosa yaleyale ya kupita na helicopta wakati wengine wakikata mbunga barabarani.
Mmmh tumefkia huku??? Mbeya waliotupa majimbo manne wachagga??? Kilombero huko wachagga??? Buyungu je??? Bukoba??? Dah inasikitisha sana karne ya 21 watu tuna mawazo mfu kma hayaChama cha wachaga
E pTrue said mkuu ...ndo mana mm bado kadi Yangu Ya kijan mpk mzee Rungwe haimarishe kile chama
Asante ila binafsi najivumia maana n muumin wa mapinduzPole kwa kuwa na kadi hiyo uliyosema
E p
Hii nayo habari ya kuletwa hapa??Rubbish!!Viongozi 22 wa kitaifa wa Chadema wanatarajia kushiriki uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata nne za mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro kuanzia kesho.
Kampeni hizo zitazinduliwa kwenye Kata ya Duni, mjini Babati ambako chama hicho kimemteua Ally Muhidini kugombea udiwani.
Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Aman Golugwa amesema watazindua kampeni kwa kila kata ikiongozwa na viongozi wa kitaifa na wabunge.
Golugwa amesema wabunge 22 wa Chadema Kanda ya Kaskazini wamepangwa kusimamia kata hizo na kwamba wanne watakuwa katika kata moja. Pia, madiwani 352 wa chama hicho katika kanda hiyo watashiriki kwenye kampeni.
“Tumejipanga kushinda kata zote, katika uchaguzi uliopita tulishinda kata moja tu kati ya hizi nne,” amesema.
Golugwa amesema uzinduzi wa kampeni kwenye kata nyingine tatu utatangazwa baadaye. Hata hivyo, amesema wameshaanza kampeni za nyumba kwa nyumba ili kuhakikisha Januari 22 wanashinda viti hivyo.
CHANZO: Gazeti la Mwananchi
Ushauri wako ndio ushauri wangu.Kaskazin TaYari watan mnamizizi imara kwanini msiende Magharib ambapo msingi umeweka nYufa baada Ya mzito kuondoka au Kusini kule ....Chama cha kushika dola lazma kiwe na Nguvu kanda kazaa kazaaa
Ninakubaliana na angalizo lako ambalo msingi wake ni siasa za kitaifa kwa faida ya taifa.Chadema kama Institution inahitaji kujifanyia Self Assessment maana kwa sasa inaonekana kuwa Chama ni viongozi hao wachache walio karibu na Mwenyekiti. Pasipo kuziba makovu ya uchaguzi wa ndani wa chama chenu, Mbowe na timu yake wasijidanganye kuwa kutakua na kusonga mbele. Watabakia viongozi wa majukwaani na matamko kama wanavyoambiwa. Hivi kwa nini baadhi ya hizo resources zisitumike kufanya mikutano ya hadhara ya kujitathmini? wako wapi wale maelfu ya vijana waliokua wanasukuma magari ya viongozi wakati wa kampeni ya kumnadi mgombea wao? Hivi ni kweli hawana kitu wala hisia yoyote kwa wakati huu? Kwa nini Mbowe na kundi lake hawaigi hata machache yanayofanywa na wapinzani wao? Tumeona Mwenyekiti wa CCM akiongea kwenye mkutano wao mkuu juu ya mabovu ya chama chao na kutangaza wazi kuwa vyeo kama vya Makamanda wa Vijana ( ambao ni wazee wakutupa anyway) na wenyeviti wa wenyeviti ni abomination, pasipo kujali kuwa hao waliovishika wananguvu kiasi gani ndani ya chama chao. The time has come when Mbowe and Chadema wafahamu kuwa kujifunza hakuna mwisho. Leo hii tamko la mikutano mikubwa kwa kugombea udiwani? mbona hao watu waliweza kuteka hizo nafasi pasipo nguvu za the so called the giants. Its just that kwa sisi tunaosoma sana kila habari matangazo ya Chadema ni kama an anti climax. Najua kuna wanaoweza kusema dada anatafuta kick aonekane, si kweli, tuambiane ukweli jamani hata kama sisi ni marafiki, au ndugu ili tupate kuwa bora zaidi kila siku. kwa sasa hivi tutake tusitake Chadema siyo news kwa anybody including Chadema wenyewe maana tunao mtaani na tunawasikia wanavyolalama.
Mkuu bado nasubiri ujibu hoja zangu maana naona unazunguka zunguka bila kujibu hoja nzito na za msingi nlizokuulizaNinakubaliana na angalizo lako ambalo msingi wake ni siasa za kitaifa kwa faida ya taifa.
Nimeshangazwa sana na uamuzi huu!Cha zaidi ni ufujaji wa mali za chama tu!! Viongozi 22, madiwani 350+ nk. Hapo per diems zao zikoje!? Si ajabu wakatumia chopper, ukiacha mashangingi watakayotumia!!!
Hiki chama kijitafakari sana, haiwezekani chama hakina hata jengo la makao makuu, kinaishi kwenye pagale kinamisuse resources namna hii eti kwa ajili ya madiwani tu na wanachama wanakichekea!!!