zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,036
- 28,679
Mkuu mbona tunao wengi sana tu lakini nahisi kwa kuwa bunge sio live tena ni ngumu wengine kujua potential ya hawa wabunge wapya ila tunao wengi tu na hta wwe shahidi wakati wa mijadala bungeni wenye hoja nzito huwa wapinzani wakiongozwa na lissu mnyika mdee mbowe millya heche matiko gekul msigwa waitara mbatia sugu silinde upendo kishoa to mention a fewMkuu nikubaliane na ww labda nimetanYa majumuisha kwa kuangalia upande mmoja ...lakini Tujiulize Viongozi wangapi wa kitaifa au wabunge wa chadema wenYe ushawish ?