eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Kwa kile kinachodaiwa ni kutokukubaliana na mwenyekiti wao kuwa mkuu wa mkoa na kukabidhiwa ilani ya ccm viongozi wa ACT kigoma wamejiunga na CHADEMA na wengine kustaafu siasa kabisa Nini maoni yako