y-n
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,389
- 2,500
katika
tamasha la ugawaji wa tuzo za wasanii wa filamu kinachorushwa muda huu
moja kwa moja toka Ubungo plaza,kioja chaibuka.Mwl JK Nyerere atajwa kama
mshindi wa filamu bora ktk category ya (kumbukumbu ya utaifa!).Baada ya
kushindwa kutokea jukwaani yeye(Mwl JK) au muwakilishi toka familia yake
ndipo marekebisho yakatolewa kuwa mshindi ni Steve Nyerere.
tamasha la ugawaji wa tuzo za wasanii wa filamu kinachorushwa muda huu
moja kwa moja toka Ubungo plaza,kioja chaibuka.Mwl JK Nyerere atajwa kama
mshindi wa filamu bora ktk category ya (kumbukumbu ya utaifa!).Baada ya
kushindwa kutokea jukwaani yeye(Mwl JK) au muwakilishi toka familia yake
ndipo marekebisho yakatolewa kuwa mshindi ni Steve Nyerere.