trisha cute
Senior Member
- Dec 1, 2020
- 194
- 606
Oooh yeah sio kila siku unatuandikia thread za kulalamika tabia za mkeo/mmeo. Wakati mwingine hivyo vijitabia ni vya kurithi so just relax na chunguza kabla ya kwenda step yoyote... na ukishachunguza kumbuka
..TABIA NI KAMA NGOZI
Ps.Future husband wangu popote ulipo jua mimi ni msukuma na tangu nakua nyumban kwetu hatujawai kuishi wenyewe as family only yani baba, mama, dada na kaka zangu nimekua katika mazingira ya kuishi na lundo la watu nyumbani kwetu na wengine hata sio ndugu zetu na tumekua tukiishi bila shida yoyote, na hii tabia pia mimi nimerithi katika maisha yangu sina circle ndogo na sijazoea kuishi kibinafsi kwaio jiandae
Changamsha mjadala hebu na wewe andika kitabia chako kimoja cha kurithi turefresh Mind
..TABIA NI KAMA NGOZI
Ps.Future husband wangu popote ulipo jua mimi ni msukuma na tangu nakua nyumban kwetu hatujawai kuishi wenyewe as family only yani baba, mama, dada na kaka zangu nimekua katika mazingira ya kuishi na lundo la watu nyumbani kwetu na wengine hata sio ndugu zetu na tumekua tukiishi bila shida yoyote, na hii tabia pia mimi nimerithi katika maisha yangu sina circle ndogo na sijazoea kuishi kibinafsi kwaio jiandae
Changamsha mjadala hebu na wewe andika kitabia chako kimoja cha kurithi turefresh Mind