Elijah JF-Expert Member May 28, 2012 1,663 416 Nov 27, 2012 #1 wakuu nimetumiwa sms kuwa nikae tayari kuangalia itv,capital,iman tv,kupitia dikoda mpya ya hd yaenye mpeg4 na usdb kutoka btl,je ni nani hawa btl???
wakuu nimetumiwa sms kuwa nikae tayari kuangalia itv,capital,iman tv,kupitia dikoda mpya ya hd yaenye mpeg4 na usdb kutoka btl,je ni nani hawa btl???
Cassava JF-Expert Member Oct 11, 2010 282 36 Nov 27, 2012 #2 HONGERA bwana PONO, mi naomba kujuwa wapi nitapat king'amuzi cha kukamatia ABOOD TELEVISION Ya morogoro. Hii Tv inanipa raha sana siku za weekend.
HONGERA bwana PONO, mi naomba kujuwa wapi nitapat king'amuzi cha kukamatia ABOOD TELEVISION Ya morogoro. Hii Tv inanipa raha sana siku za weekend.
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,091 16,125 Nov 27, 2012 #3 pono nadhani ndio kampuni hiyo ya tatu ambayo tcra walisema yataendesha matangazo kwa njia ya dijitali yakiwamo startimes na ting Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
pono nadhani ndio kampuni hiyo ya tatu ambayo tcra walisema yataendesha matangazo kwa njia ya dijitali yakiwamo startimes na ting
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,091 16,125 Nov 28, 2012 #4 pono said: wakuu nimetumiwa sms kuwa nikae tayari kuangalia itv,capital,iman tv,kupitia dikoda mpya ya hd yaenye mpeg4 na usdb kutoka btl,je ni nani hawa btl??? Click to expand... kuna thread moja ipo jukwaa la technology Superman ameeleza vizuri sana Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
pono said: wakuu nimetumiwa sms kuwa nikae tayari kuangalia itv,capital,iman tv,kupitia dikoda mpya ya hd yaenye mpeg4 na usdb kutoka btl,je ni nani hawa btl??? Click to expand... kuna thread moja ipo jukwaa la technology Superman ameeleza vizuri sana