Jamani wana jamii wenzangu! Hivi ving'amuzi me mbona sivielewi kipi ni kipi? maana naskia kuna vya startimes na Tiang sasa kipi kizuri nataka ninunue maana bei naona affordable.. tatizo sijui quality ya service zao. Naombeni ushauri tafadhali. au kama kuna mtu yeyote anamjua anaefanya kazi huko... thanx