Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Jamani Vincet Nyerere, Mbunge wa zamani wa Musoma Mjini, yuko wapi?
Usiku huu atakuwa kalala na mkewe... kwani vp mwenzetu?
Chadema ishatumbukia ktk Korongo la ukanda
akikujibu ni tagHivi kweli ni chadema tu? Ebu tuone:
Chadema: Mwenyekiti Kaskazini
Makamu wawili: Mmoja Zanzibar na mwingine Pwani
Katibu Mkuu: Mwanza/Shinyanga
Vijana: Kaskazini
Wanawake: Kagera
Wazee: Kagera
CCM: Mwenyekiti - Ziwa/Geita
Makamu: Zanzibar na Njombe
Katibu Mkuu: Kagera/Ziwa
Vijana: Mwanza/Ziwa
Wanawake: Mara/Ziwa
Katibu Wazazi: Ziwa/Simiyu
Nani Mkanda zaidi?
We Vincent wa nini kwani Mkuu??Jamani Vincet Nyerere, Mbunge wa zamani wa Musoma Mjini, yuko wapi?
Ahsante Mkuu,Hivi kweli ni chadema tu? Ebu tuone:
Chadema: Mwenyekiti Kaskazini
Makamu wawili: Mmoja Zanzibar na mwingine Pwani
Katibu Mkuu: Mwanza/Shinyanga
Vijana: Kaskazini
Wanawake: Kagera
Wazee: Kagera
CCM: Mwenyekiti - Ziwa/Geita
Makamu: Zanzibar na Njombe
Katibu Mkuu: Kagera/Ziwa
Vijana: Mwanza/Ziwa
Wanawake: Mara/Ziwa
Katibu Wazazi: Ziwa/Simiyu
Nani Mkanda zaidi?
Ahsante Mkuu,
Hapo hatujagusa wakuu wa idara, mashirika na taasisi za Sirikali
Mkuu wa majeshi?CCM wazazi Tanga.