Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Huwa napata kichefuchefu pale ninaposikia ama kusoma ya kuwa hata Mh. Nchimbi ni mmoja wapo wa wanaowania uraisi wa nchi hii. Hivi kweli kwa kufanya madudu yasiyovumilika na kutetea udhalimu kupitia dhamana (waziri) aliyonayo sasa, Je akipata uraisi si ndiyo itakuwa hali mbaya zaidi? Nawaza kwa kelele huku nikiogopa sana.