Elections 2010 Vincent Nyerere... Leticia Nyerere... Fumbo kwa CHADEMA

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu.

Ndoto ya Baba wa Taifa ilikuwa ni kuona Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu(dhana ambazo zinahubiriwa kinafiki na CCM ya leo). Nyerere hatunaye. Ametangulia kwenye haki.

Watoto wake warithi nini?

Nyerere hakuwa mwizi. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa wezi.

Nyerere hakuwa mtu wa viduku. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa watu wa kuandikwa kwenye magazeti ya udaku na kupigwa picha za kuweka kwenye blog za michuzi anayepigwa picha akibeba kinyago cha uume.

Nyerere alikuwa mtu wa watu. Watoto wake wanajaribu kukimbilia kwenye kundi (japo dogo) la watu wanaohubiri mageuzi na usawa katika jamii. Alianza Makongoro na NCCR. Mrema akamuangusha. Mrema akawa mnafiki asiye na msimamo anayefarakana na kila chama anachokuwa yupo. Lyatonga kafulia. Huyo tumuache.

Chadema.

Mungu amegeuza macho kwenu. Amewapa Vincent.

Jiulizeni.

Mwaka 2005, Chadema haikuwa na diwani jimbo la Musoma mjini. Leo ina madiwani 8 (usisahau uchakachuaji wa CCM). Damu ya Nyerere. Halmashauri ya Mji wa Musoma iko chini ya Chadema. Chini ya Nyerere.

Chadema musione kitu hiki kuwa kidogo. Na wala musione kuwa cha kawaida. Ni baraka za Mungu Chadema kuhusishwa na familia ya Nyerere, na popote pale walipo, CCM inawauma sana.

Mtembeleeni Maria (Mrs. Nyerere). Hebu muulizeni mzee alikuwa akisema nini kuhusu Tanzania ya leo walipokuwa wamelala kitandani. Atawaambia mengi yatakayosaidia kuturudisha Watanzania kwenye njia sahihi.

Nina amini kama Maria angeona tatizo, asingekubali Vincent na Leticia kugombea uongozi kupitia Chadema.

Kuna kitu Maria anacho. Mfuateni.

Namaliza kwa kusema: Ahsante Mungu kwa familia ya muasisi wa Taifa hili.

Chadema mumepewa Fumbo.

Epukeni ushetani uliokisambaratisha NCCR cha Mrema na kumuacha Makongoro akionekana mtu wa kawaida katika jamii, wakati damu yake ni lulu....damu ya Julius Kambarage Nyerere.
 
Kweli huo na uchambuzi yakinifu,pongezi mkuu.Kupitia chadema tutazifikia ndoto za watanzania
 
Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu.

Ndoto ya Baba wa Taifa ilikuwa ni kuona Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu(dhana ambazo zinahubiriwa kinafiki na CCM ya leo). Nyerere hatunaye. Ametangulia kwenye haki.

Watoto wake warithi nini?

Nyerere hakuwa mwizi. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa wezi.

Nyerere hakuwa mtu wa viduku. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa watu wa kuandikwa kwenye magazeti ya udaku na kupigwa picha za kuweka kwenye blog za michuzi anayepigwa picha akibeba kinyago cha uume.

Nyerere alikuwa mtu wa watu. Watoto wake wanajaribu kukimbilia kwenye kundi (japo dogo) la watu wanaohubiri mageuzi na usawa katika jamii. Alianza Makongoro na NCCR. Mrema akamuangusha. Mrema akawa mnafiki asiye na msimamo anayefarakana na kila chama anachokuwa yupo. Lyatonga kafulia. Huyo tumuache.

Chadema.

Mungu amegeuza macho kwenu. Amewapa Vincent.

Jiulizeni.

Mwaka 2005, Chadema haikuwa na diwani jimbo la Musoma mjini. Leo ina madiwani 8 (usisahau uchakachuaji wa CCM). Damu ya Nyerere. Halmashauri ya Mji wa Musoma iko chini ya Chadema. Chini ya Nyerere.

Chadema musione kitu hiki kuwa kidogo. Na wala musione kuwa cha kawaida. Ni baraka za Mungu Chadema kuhusishwa na familia ya Nyerere, na popote pale walipo, CCM inawauma sana.

Mtembeleeni Maria (Mrs. Nyerere). Hebu muulizeni mzee alikuwa akisema nini kuhusu Tanzania ya leo walipokuwa wamelala kitandani. Atawaambia mengi yatakayosaidia kuturudisha Watanzania kwenye njia sahihi.

Nina amini kama Maria angeona tatizo, asingekubali Vincent na Leticia kugombea uongozi kupitia Chadema.

Kuna kitu Maria anacho. Mfuateni.

Namaliza kwa kusema: Ahsante Mungu kwa familia ya muasisi wa Taifa hili.

Chadema mumepewa Fumbo.

Epukeni ushetani uliokisambaratisha NCCR cha Mrema na kumuacha Makongoro akionekana mtu wa kawaida katika jamii, wakati damu yake ni lulu....damu ya Julius Kambarage Nyerere.

I agree
 
Kama mtu aliwahi kunigusa ni Ng'wanagwa

Ndani ya CHADEMA kuna mbegu ya "aradali" Mama Maria anajua; ila huyo ni mzazi (1st : !st Lady ever)

CHADEMA tumwendee atuambie siri ya Malaika Gabriel kwa Tanzania

Bravo Ng'wa.....
 
Napinga hoja kwa sabau siamini kama kuna kitu kama damu lulu. Kama hawa wamechaguliwa kutokana na jina lao na si uwezo wao basi nchi hii imekwisha. Ni huku kusujudia watu kwa sababu ya uzawa wao unachangia kwa kiasi kikubwa kutufikisha hapa ambapo wakina na January nao wanaona wana damu ya lulu! Mama Maria alikuwa mke wa Mwalimu na si zaidi ya hapo. Kumgeuza leo oracle ni kutotutendea haki watanzania. Tuwape heshima wanayostahili kama binadamu lakini tusivuke mpaka na kuanza kuwasujudia. Mbaya zaidi hao unaowadai wana damu ya Mwalimu mbona waliojiita wasemaji wa ukoo waliwatolea nje? Walisema (I stand to be corrected) kuwa Vincent si ndugu wa karibu ( ingawa ni mtoto wa mdogo wake Mwalimu) na Leticia ni mtaliki wa mtoto wa Nyerere kwa hiyo si damu yao ( Makongoro amfungia safari Leticia Nyerere! ) Sasa hayo ya baraka yalikuwa wapi? Tumshukuru Mungu kwa Mwalimu lakini si kwa familia yake. Hapa si Korea ya Kaskazini.

Amandla......
 
Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu.

Ndoto ya Baba wa Taifa ilikuwa ni kuona Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu(dhana ambazo zinahubiriwa kinafiki na CCM ya leo). Nyerere hatunaye. Ametangulia kwenye haki.

Watoto wake warithi nini?

Nyerere hakuwa mwizi. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa wezi.

Nyerere hakuwa mtu wa viduku. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa watu wa kuandikwa kwenye magazeti ya udaku na kupigwa picha za kuweka kwenye blog za michuzi anayepigwa picha akibeba kinyago cha uume.

Nyerere alikuwa mtu wa watu. Watoto wake wanajaribu kukimbilia kwenye kundi (japo dogo) la watu wanaohubiri mageuzi na usawa katika jamii. Alianza Makongoro na NCCR. Mrema akamuangusha. Mrema akawa mnafiki asiye na msimamo anayefarakana na kila chama anachokuwa yupo. Lyatonga kafulia. Huyo tumuache.

Chadema.

Mungu amegeuza macho kwenu. Amewapa Vincent.

Jiulizeni.

Mwaka 2005, Chadema haikuwa na diwani jimbo la Musoma mjini. Leo ina madiwani 8 (usisahau uchakachuaji wa CCM). Damu ya Nyerere. Halmashauri ya Mji wa Musoma iko chini ya Chadema. Chini ya Nyerere.

Chadema musione kitu hiki kuwa kidogo. Na wala musione kuwa cha kawaida. Ni baraka za Mungu Chadema kuhusishwa na familia ya Nyerere, na popote pale walipo, CCM inawauma sana.

Mtembeleeni Maria (Mrs. Nyerere). Hebu muulizeni mzee alikuwa akisema nini kuhusu Tanzania ya leo walipokuwa wamelala kitandani. Atawaambia mengi yatakayosaidia kuturudisha Watanzania kwenye njia sahihi.

Nina amini kama Maria angeona tatizo, asingekubali Vincent na Leticia kugombea uongozi kupitia Chadema.

Kuna kitu Maria anacho. Mfuateni.

Namaliza kwa kusema: Ahsante Mungu kwa familia ya muasisi wa Taifa hili.

Chadema mumepewa Fumbo.

Epukeni ushetani uliokisambaratisha NCCR cha Mrema na kumuacha Makongoro akionekana mtu wa kawaida katika jamii, wakati damu yake ni lulu....damu ya Julius Kambarage Nyerere.

Kingine kilichobaki ni kutafita CONSPIRACY THEORY ya kujipa moyo!
 
Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu.

Ndoto ya Baba wa Taifa ilikuwa ni kuona Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu(dhana ambazo zinahubiriwa kinafiki na CCM ya leo). Nyerere hatunaye. Ametangulia kwenye haki.

Watoto wake warithi nini?

Nyerere hakuwa mwizi. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa wezi.

Nyerere hakuwa mtu wa viduku. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa watu wa kuandikwa kwenye magazeti ya udaku na kupigwa picha za kuweka kwenye blog za michuzi anayepigwa picha akibeba kinyago cha uume.

Nyerere alikuwa mtu wa watu. Watoto wake wanajaribu kukimbilia kwenye kundi (japo dogo) la watu wanaohubiri mageuzi na usawa katika jamii. Alianza Makongoro na NCCR. Mrema akamuangusha. Mrema akawa mnafiki asiye na msimamo anayefarakana na kila chama anachokuwa yupo. Lyatonga kafulia. Huyo tumuache.

Chadema.

Mungu amegeuza macho kwenu. Amewapa Vincent.

Jiulizeni.

Mwaka 2005, Chadema haikuwa na diwani jimbo la Musoma mjini. Leo ina madiwani 8 (usisahau uchakachuaji wa CCM). Damu ya Nyerere. Halmashauri ya Mji wa Musoma iko chini ya Chadema. Chini ya Nyerere.

Chadema musione kitu hiki kuwa kidogo. Na wala musione kuwa cha kawaida. Ni baraka za Mungu Chadema kuhusishwa na familia ya Nyerere, na popote pale walipo, CCM inawauma sana.

Mtembeleeni Maria (Mrs. Nyerere). Hebu muulizeni mzee alikuwa akisema nini kuhusu Tanzania ya leo walipokuwa wamelala kitandani. Atawaambia mengi yatakayosaidia kuturudisha Watanzania kwenye njia sahihi.

Nina amini kama Maria angeona tatizo, asingekubali Vincent na Leticia kugombea uongozi kupitia Chadema.

Kuna kitu Maria anacho. Mfuateni.

Namaliza kwa kusema: Ahsante Mungu kwa familia ya muasisi wa Taifa hili.

Chadema mumepewa Fumbo.

Epukeni ushetani uliokisambaratisha NCCR cha Mrema na kumuacha Makongoro akionekana mtu wa kawaida katika jamii, wakati damu yake ni lulu....damu ya Julius Kambarage Nyerere.

Yombaga Yombaga Yombaga wa ng'wise Yombaga.

Hamo CCM bhale na Shida sana

 
Napinga hoja kwa sabau siamini kama kuna kitu kama damu lulu. Kama hawa wamechaguliwa kutokana na jina lao na si uwezo wao basi nchi hii imekwisha. Ni huku kusujudia watu kwa sababu ya uzawa wao unachangia kwa kiasi kikubwa kutufikisha hapa ambapo wakina na January nao wanaona wana damu ya lulu! Mama Maria alikuwa mke wa Mwalimu na si zaidi ya hapo. Kumgeuza leo oracle ni kutotutendea haki watanzania. Tuwape heshima wanayostahili kama binadamu lakini tusivuke mpaka na kuanza kuwasujudia. Mbaya zaidi hao unaowadai wana damu ya Mwalimu mbona waliojiita wasemaji wa ukoo waliwatolea nje? Walisema (I stand to be corrected) kuwa Vincent si ndugu wa karibu ( ingawa ni mtoto wa mdogo wake Mwalimu) na Leticia ni mtaliki wa mtoto wa Nyerere kwa hiyo si damu yao ( Makongoro amfungia safari Leticia Nyerere! ) Sasa hayo ya baraka yalikuwa wapi? Tumshukuru Mungu kwa Mwalimu lakini si kwa familia yake. Hapa si Korea ya Kaskazini.

Amandla......

Sauti ya hofu.

Si munawadharau!! Hatujasahau. Tarehe 14 October 2010 hakuna kiongozi wa Serikali alikwenda huko. Gazeti la Mwananchi likawaumbua. Mukaja na vitisho vya kutaka kulifungia.

Mungu si mwanadamu bwana.

Jaribuni kuwachakachua kama munaweza.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom