Elections 2010 Vincent Nyerere... Leticia Nyerere... Fumbo kwa CHADEMA

Makongolo huyo huyo alikuwa akimpigia kampeni Vincent Musoma Mjini.

Tulieni tuwasulubu.

Ndiyo kwanza tunaanza. Na haturudi nyuma.

Kwa hiyo ni mnafik? Anauma huku anapuliza! Halafu unataka tumuenzi? Angeshinda Slaa bila shaka wengi wangetoka na kudai kuwa walikuwa wakimpigia debe chini chini. Wanafik watupu. Kama ni kweli unachosema kuhusu Makongoro basi ni uthibitisho kuwa hastahili kuenziwa. Baba yake wala asingejificha, angesema wazi wazi kuwa nani anaona anafaa.

Amandla.....
 
Re: Vincent Nyerere... Leticia Nyerere... Fumbo kwa CHADEMA
Napinga hoja kwa sabau siamini kama kuna kitu kama damu lulu. Kama hawa wamechaguliwa kutokana na jina lao na si uwezo wao basi nchi hii imekwisha. Ni huku kusujudia watu kwa sababu ya uzawa wao unachangia kwa kiasi kikubwa kutufikisha hapa ambapo wakina na January nao wanaona wana damu ya lulu! Mama Maria alikuwa mke wa Mwalimu na si zaidi ya hapo. Kumgeuza leo oracle ni kutotutendea haki watanzania. Tuwape heshima wanayostahili kama binadamu lakini tusivuke mpaka na kuanza kuwasujudia. Mbaya zaidi hao unaowadai wana damu ya Mwalimu mbona waliojiita wasemaji wa ukoo waliwatolea nje? Walisema (I stand to be corrected) kuwa Vincent si ndugu wa karibu ( ingawa ni mtoto wa mdogo wake Mwalimu) na Leticia ni mtaliki wa mtoto wa Nyerere kwa hiyo si damu yao ( Makongoro amfungia safari Leticia Nyerere! ) Sasa hayo ya baraka yalikuwa wapi? Tumshukuru Mungu kwa Mwalimu lakini si kwa familia yake. Hapa si Korea ya Kaskazini.

Amandla......

Ulimwengu unakwenda kwa DNA sio Korea wala mawazo finyu ya Fundi Mchundo (technician)


Sasa kama ni hivyo kwa nini mnawashangaa CCM kuwababaikia watoto wa Kikwete, Makamba, Mwinyi, Karume n.k. Si D.N.A ndiyo muhimu kuliko uwezo wa mtu? Hakuna mawazo ya juche hapa.

Amandla.....
Fundi Utumbo

 
Kwa hiyo ni manfik? Anauma huku anapuliza! Halafu unataka tumuenzi? Angeshinda Slaa bila shaka wengi wangetoka na kudai kuwa walikuwa wakimpigia debe chini chini. Wanafik watupu. Kama ni kweli unachosema kuhusu Makongoro basi ni uthibitisho kuwa hastahili kuenziwa. Baba yake wala asingejificha, angesema wazi wazi kuwa nani anaona anafaa.

Amandla.....

Hujui sababu kwanini Mrema aliivuruga NCCR. Kwa hiyo automatically hujui kwa nini Makongolo leo yuko CCM.

Sawa Fundi Utumboro?
 
Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu.

Ndoto ya Baba wa Taifa ilikuwa ni kuona Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu(dhana ambazo zinahubiriwa kinafiki na CCM ya leo). Nyerere hatunaye. Ametangulia kwenye haki.

Watoto wake warithi nini?

Nyerere hakuwa mwizi. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa wezi.

Nyerere hakuwa mtu wa viduku. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa watu wa kuandikwa kwenye magazeti ya udaku na kupigwa picha za kuweka kwenye blog za michuzi anayepigwa picha akibeba kinyago cha uume.

Nyerere alikuwa mtu wa watu. Watoto wake wanajaribu kukimbilia kwenye kundi (japo dogo) la watu wanaohubiri mageuzi na usawa katika jamii. Alianza Makongoro na NCCR. Mrema akamuangusha. Mrema akawa mnafiki asiye na msimamo anayefarakana na kila chama anachokuwa yupo. Lyatonga kafulia. Huyo tumuache.

Chadema.

Mungu amegeuza macho kwenu. Amewapa Vincent.

Jiulizeni.

Mwaka 2005, Chadema haikuwa na diwani jimbo la Musoma mjini. Leo ina madiwani 8 (usisahau uchakachuaji wa CCM). Damu ya Nyerere. Halmashauri ya Mji wa Musoma iko chini ya Chadema. Chini ya Nyerere.

Chadema musione kitu hiki kuwa kidogo. Na wala musione kuwa cha kawaida. Ni baraka za Mungu Chadema kuhusishwa na familia ya Nyerere, na popote pale walipo, CCM inawauma sana.

Mtembeleeni Maria (Mrs. Nyerere). Hebu muulizeni mzee alikuwa akisema nini kuhusu Tanzania ya leo walipokuwa wamelala kitandani. Atawaambia mengi yatakayosaidia kuturudisha Watanzania kwenye njia sahihi.

Nina amini kama Maria angeona tatizo, asingekubali Vincent na Leticia kugombea uongozi kupitia Chadema.

Kuna kitu Maria anacho. Mfuateni.

Namaliza kwa kusema: Ahsante Mungu kwa familia ya muasisi wa Taifa hili.

Chadema mumepewa Fumbo.

Epukeni ushetani uliokisambaratisha NCCR cha Mrema na kumuacha Makongoro akionekana mtu wa kawaida katika jamii, wakati damu yake ni lulu....damu ya Julius Kambarage Nyerere.

Maono haya ni muhimu. Tutayatunza kwa reference
 
Kwa hiyo ni manfik? Anauma huku anapuliza! Halafu unataka tumuenzi? Angeshinda Slaa bila shaka wengi wangetoka na kudai kuwa walikuwa wakimpigia debe chini chini. Wanafik watupu. Kama ni kweli unachosema kuhusu Makongoro basi ni uthibitisho kuwa hastahili kuenziwa. Baba yake wala asingejificha, angesema wazi wazi kuwa nani anaona anafaa.

Amandla.....

Wengine tulimpigia debe, kushinda ameshinda, kura zake zikachakachuliwa. Hata hivyo, Mimi Rais wangu ni Dr. (PhD) Slaa.
Sidaanganyiki
 
Kuna tofauti kati ya kumuenzi Nyerere na kuenzi ukoo wake. Watoto na ndugu wa Nyerere tunawajua na ni watu wa kawaida tu. Kutaka leo tugeuze Butiama kuwa sehemu ya pilgrimage kwenda kuomba baraka za mjane wa Nyerere ni kutudhihaki watanzania wengine. Dr. Slaa amemsifia na kumuenzi Julius Kambarage Nyerere na sio Maria au mmoja wa watoto wake. Atawaheshimu lakini kuwaenzi, hapana. Mtu unaenziwa kwa kitu ulichofanya na si kwa sababu tu ulizaliwa na fulani. Vincent na Leticia wanastahili sifa kama wana harakati kwa nafsi yao na si ati kwa sabau wana uhusiano na ukoo wa mwalimu. Ulimbukeni huu ndio unaotufanya tuwape vyeo vya ajabu watoto wa chekechea kwa sababu tu wanatoka katika ukoo fulani. Ukwelli ni kwamba kama Chadema wanataka kukubalika kwa sababu ati Nyerere aliwasifia basi hawana hoja. Chadema wanakubalika na watu kutokana na msimamo wao na si kwa sababu ya hizo baraka. Mnaotaka kuwageuza watoto wa kambo wa nyerere hamuwatendei haki wale wote waliotoka jasho kuifikisha Chadema hapa ilipo.

Amandla.........

Naheshimu mawazo yako FM. Lakini hoja iliyoko mezani bado ina mashiko. Naomba kunukuu mfano wa Biblia kuhusu baba yake na Yesu (mme wa Mariam), Mzee Yosef kutoka ukoo wa Daud. Yesu alipozaliwa, malaika alikuja na kuwatangazia wachungaji kuwa "katika nyumba ya Daudi amezaliwa mwana"...!!!! Kwanini iwe katika nyumba ya Daud na siyo Yosef? Daud aliyekuwa ameshakufa siku nyingi, kwanini atwae sifa ya mtoto asiyekuwa wa kwake bali wa Yosef?

Mungu anapochagua watu waaminifu kuongoza watu wake, huwabariki na ukoo wao pia. Daudi alitawala nchi ya Uyahudi na kisha mwanaye Mfalme Suleiman alirithi na kuonesha uwezo mkubwa katika utawala wake.

Sasa hata ssi hapa Tanzania, sa ajabu kwasababu safari hii tumeshindwa kumpata Dr Slaa kama rais wetu (ninampenda sana kwasababu ya uwezo na uzalendo wake) huenda ukoo wa Nyerere ndio utakuja kutoa kiongozi mwingine aliye bora katika nchi yetu. Hili linawezekana. Ngoja nikomee hapa kwanza...
 
Acheni kuzungumza kilugha hapa kwenye hii JF si kila mtu anafaham maana ya nyanoko..au nimekosea mkoi?
 
Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu.

Ndoto ya Baba wa Taifa ilikuwa ni kuona Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu(dhana ambazo zinahubiriwa kinafiki na CCM ya leo). Nyerere hatunaye. Ametangulia kwenye haki.

Watoto wake warithi nini?

Nyerere hakuwa mwizi. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa wezi.

Nyerere hakuwa mtu wa viduku. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa watu wa kuandikwa kwenye magazeti ya udaku na kupigwa picha za kuweka kwenye blog za michuzi anayepigwa picha akibeba kinyago cha uume.

Nyerere alikuwa mtu wa watu. Watoto wake wanajaribu kukimbilia kwenye kundi (japo dogo) la watu wanaohubiri mageuzi na usawa katika jamii. Alianza Makongoro na NCCR. Mrema akamuangusha. Mrema akawa mnafiki asiye na msimamo anayefarakana na kila chama anachokuwa yupo. Lyatonga kafulia. Huyo tumuache.

Chadema.

Mungu amegeuza macho kwenu. Amewapa Vincent.

Jiulizeni.

Mwaka 2005, Chadema haikuwa na diwani jimbo la Musoma mjini. Leo ina madiwani 8 (usisahau uchakachuaji wa CCM). Damu ya Nyerere. Halmashauri ya Mji wa Musoma iko chini ya Chadema. Chini ya Nyerere.

Chadema musione kitu hiki kuwa kidogo. Na wala musione kuwa cha kawaida. Ni baraka za Mungu Chadema kuhusishwa na familia ya Nyerere, na popote pale walipo, CCM inawauma sana.

Mtembeleeni Maria (Mrs. Nyerere). Hebu muulizeni mzee alikuwa akisema nini kuhusu Tanzania ya leo walipokuwa wamelala kitandani. Atawaambia mengi yatakayosaidia kuturudisha Watanzania kwenye njia sahihi.

Nina amini kama Maria angeona tatizo, asingekubali Vincent na Leticia kugombea uongozi kupitia Chadema.

Kuna kitu Maria anacho. Mfuateni.

Namaliza kwa kusema: Ahsante Mungu kwa familia ya muasisi wa Taifa hili.

Chadema mumepewa Fumbo.

Epukeni ushetani uliokisambaratisha NCCR cha Mrema na kumuacha Makongoro akionekana mtu wa kawaida katika jamii, wakati damu yake ni lulu....damu ya Julius Kambarage Nyerere.
Nahisi kutokwa machozi mara baada ya kumaliza kusoma huo ujumbe mpwa.
 
Bwana fundi mchundo acha kuniangusha kwa kuamua kuwa mvivu wa kufikiri wakati najua hauko hivyo. Kuwa fundi mchundo haimaanishi uwe unafikiri short kati namna hiyo kwani kuna maprofesa wengi wamepitia ufundi mchundo mpwa.
 
Mkuu maneno yako ni makubwa muno. Nawaza na nakushauri ukopi maneno yote yaandikwe kwenye gazeti la watanzania,ili si mtanzania(cjui ni mtanzania gani wanamrefer,fisadi cjui?) nasema watanzania kama mwananchi ivi,itasaidia kuwakumbusha wananchi kuwa mwakilishi wa mwl amerudi kutunga sheria kwa niaba ya mwl! Mwl alisema mengi ktk siku zake za mwisho,mfano aliwaambia viongoz wa sasa wamechukua mambo ya kijinga na kuacha mazuri ya awamu ya kwanza,pia sifa ya uongozi siku izi imekuwa utajiri alionao mtu a.k.a ufisadi badala ya uwezo wake wa kuongoza! Mwl.alishachukia. Dr.Slaa alipoama chama waasisi walitetemeka, wakasema sasa nchi imeyumba itaangua upinzan ambapo waadilifu wamegeukia,aya ndo maono yanayoanza na safari ndefu ya akina Vicent kiboko nyerere na akina Leticia! Watz acheni utani,kila aliye kwenye ukoo wa mwl tumuheshimu ata kama ni kijukuu hawa wana baraka za Mungu kupitia kwa mwl. Pia Tz aitakubali kama si waadilifu,so as far as ni waadilifu tutazidi kuwaita mfano wa kuigwa. Vicent Nyerere mola kakupeleka Chadema ulete Unyerere ambao Ccm wameukana kwa matendo yao. Mh.onesha njia,sie tuko tunakanyaga unapotoa unyayo! Mungu akubariki,ibariki chadema ilete amani na maisha bora ee Mungu!
 
kama ni thaman ya baba tu kwa chama ..................tusishangae tukisikia January makamba kapewa uwaziri
 
kama ni thaman ya baba tu kwa chama ..................tusishangae tukisikia January makamba kapewa uwaziri

Yaani Makamba (Yusufu) unamfananisha na Harrace Kolimba??

Makamba hana thaman yoyote kwa CCM kama Chama mkombozi wa Wakulima na Wafanyakazi. Angekuwa ni Katibu bora asingeacha mwenyekiti wake akasimama mahali akatamka "sihitaji kura za wafanyakazi" akafunika kombe.

Na hapa hatuangalii thamani tu, tunaangalia na mchango pia. Makamba amechangia kwa kiasi kikubwa kukifanya chama kuwa cha mafisadi.

Katika hali kama hii ni ngumu sana familia ya muasisi wa Taifa hili kujihusisha nao.

(kwanza nikuulize swali dogo)

Hebu nitajie japo kasoro 2 za utawala wa Karume Mtoto? Mbili tu ambazo ni kubwa kiasi cha kufananishwa na za utawala wa Mkwere na Msambaa.

Kama hakuna, basi tulia tuwaenzi watoto wa waanzilishi wa Tanzania.
 
Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu.

Ndoto ya Baba wa Taifa ilikuwa ni kuona Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu(dhana ambazo zinahubiriwa kinafiki na CCM ya leo). Nyerere hatunaye. Ametangulia kwenye haki.

Watoto wake warithi nini?

Nyerere hakuwa mwizi. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa wezi.

Nyerere hakuwa mtu wa viduku. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa watu wa kuandikwa kwenye magazeti ya udaku na kupigwa picha za kuweka kwenye blog za michuzi anayepigwa picha akibeba kinyago cha uume.

Nyerere alikuwa mtu wa watu. Watoto wake wanajaribu kukimbilia kwenye kundi (japo dogo) la watu wanaohubiri mageuzi na usawa katika jamii. Alianza Makongoro na NCCR. Mrema akamuangusha. Mrema akawa mnafiki asiye na msimamo anayefarakana na kila chama anachokuwa yupo. Lyatonga kafulia. Huyo tumuache.

Chadema.

Mungu amegeuza macho kwenu. Amewapa Vincent.

Jiulizeni.

Mwaka 2005, Chadema haikuwa na diwani jimbo la Musoma mjini. Leo ina madiwani 8 (usisahau uchakachuaji wa CCM). Damu ya Nyerere. Halmashauri ya Mji wa Musoma iko chini ya Chadema. Chini ya Nyerere.

Chadema musione kitu hiki kuwa kidogo. Na wala musione kuwa cha kawaida. Ni baraka za Mungu Chadema kuhusishwa na familia ya Nyerere, na popote pale walipo, CCM inawauma sana.

Mtembeleeni Maria (Mrs. Nyerere). Hebu muulizeni mzee alikuwa akisema nini kuhusu Tanzania ya leo walipokuwa wamelala kitandani. Atawaambia mengi yatakayosaidia kuturudisha Watanzania kwenye njia sahihi.

Nina amini kama Maria angeona tatizo, asingekubali Vincent na Leticia kugombea uongozi kupitia Chadema.

Kuna kitu Maria anacho. Mfuateni.

Namaliza kwa kusema: Ahsante Mungu kwa familia ya muasisi wa Taifa hili.

Chadema mumepewa Fumbo.

Epukeni ushetani uliokisambaratisha NCCR cha Mrema na kumuacha Makongoro akionekana mtu wa kawaida katika jamii, wakati damu yake ni lulu....damu ya Julius Kambarage Nyerere.

Du...Hivi hawa wana uhusiano wa damu na Mwalimu Nyerere? Kifalsafa je?
 
FUNDI MCHUNDO.....! nimekuwa nikigongana na wewe katika mijadala mingi......na hapa nagongana nawe pi....!
"KUMBE HAWA WOTE SI DAMU YA NYERERE" sasa mtoto wa mdogo naye anajiita kwa jina la baba mkubwa...... huyu ni "DIVORCED" naye bado asema ukoo wa alikotalikiwa....... na kama slaa akiwa rais nani atakiwa festi ledi wake?...... huyu mke wa mfanyakazi wa bandari ? au mbunge?
FUNDI MCHUNDO JIBU HOJA USIKIMBIE!
 
Napinga hoja kwa sabau siamini kama kuna kitu kama damu lulu. Kama hawa wamechaguliwa kutokana na jina lao na si uwezo wao basi nchi hii imekwisha. Ni huku kusujudia watu kwa sababu ya uzawa wao unachangia kwa kiasi kikubwa kutufikisha hapa ambapo wakina na January nao wanaona wana damu ya lulu! Mama Maria alikuwa mke wa Mwalimu na si zaidi ya hapo. Kumgeuza leo oracle ni kutotutendea haki watanzania. Tuwape heshima wanayostahili kama binadamu lakini tusivuke mpaka na kuanza kuwasujudia. Mbaya zaidi hao unaowadai wana damu ya Mwalimu mbona waliojiita wasemaji wa ukoo waliwatolea nje? Walisema (I stand to be corrected) kuwa Vincent si ndugu wa karibu ( ingawa ni mtoto wa mdogo wake Mwalimu) na Leticia ni mtaliki wa mtoto wa Nyerere kwa hiyo si damu yao ( Makongoro amfungia safari Leticia Nyerere! ) Sasa hayo ya baraka yalikuwa wapi? Tumshukuru Mungu kwa Mwalimu lakini si kwa familia yake. Hapa si Korea ya Kaskazini.

Amandla......


Nukta. Hapo siongezi neno.
 
Thank You Mr. Ng'wanangwa For This Useful Post:

Nimefarijika sana na ushauri wako kwani umeona mbali hata ccm huenda kusabahi kinafiki najua fika hawapendi nazaidi kuna watu wakuwatembelea kwa ushauri bilakujali itikadi mfano,
Butiku
Salimu Ahamed Salim
Warioba
Msuya
Hata wale wakongwe wa ccm walioondolewa kwakura zamaoni zaunafiki wanmambo mazito moyoni wanaweza kusema!
 
Back
Top Bottom