leroy
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,589
- 2,140
Takwimu za mwaka 2011 zinaonesha kwamba Tanzania ni nchi ya 12 kiuchumi barani Afrika. Hii ni kwa kutumia kigezo cha GDP (Purchasing Power Parity). Takwimu zinaonesha pia kwamba ukiondoa nchi zinazozalisha MAFUTA (zenye rangi ya njano hapa chini), Tanzania ni nchi ya 5 yenye uchumi mkubwa barani Afrika.
Bado wachumi wana swali linalowashinda kila siku ni lini ukubwa huu wa uchumi utawapatia unafuu wa maisha watu wengi?
Chanzo: International Monetary Fund, 2010 figures.
Bado wachumi wana swali linalowashinda kila siku ni lini ukubwa huu wa uchumi utawapatia unafuu wa maisha watu wengi?
African Rank | Country | 2011 GDP (PPP) Billion of International $ |
1 | South Africa | 555.134 |
2 | Egypt | 518.976 |
3 | Nigeria | 413.402 |
4 | Algeria | 236.661 |
5 | Morocco | 162.617 |
6 | Angola | 115.679 |
7 | Tunisia | 100.979 |
8 | Ethiopia | 94.878 |
9 | Sudan | 89.048 |
10 | Ghana | 74.937 |
11 | Kenya | 71.427 |
12 | Tanzania | 63.892 |
13 | Cameroon | 47.251 |
13 | Uganda | 46.638 |
14 | Libya | 37.492 |
15 | Ivory Coast | 36.068 |
16 | Botswana | 29.707 |
18 | Equatorial Guinea | 26.147 |
19 | Democratic Republic of the Congo | 25.262 |
20 | Senegal | 25.152 |
Chanzo: International Monetary Fund, 2010 figures.