Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
basi Dinho ana vipaji vingi
sikumbuki vizuri,ila kuna Mazinho alikuwa winga,Mauro Silva,Zinho na Jorginho walikuwa ndio mabeki wapandaji,Cafu anaingia super sub akimsaidia Zinho,captain Rai na msaidizi wake Dunga mwaka 1994Huyo aliyemsahau alikuwepo 1994, alitolewa kwa red card ktk mechi na USA baada ya kumpiga kwa kiwiko Tab Ramos (hapa nadhani gutierez anakumbuka vizuri,nshazeeka sasa!!!)
sikumbuki vizuri,ila kuna Mazinho alikuwa winga,Mauro Silva,Zinho na Jorginho walikuwa ndio mabeki wapandaji,Cafu anaingia super sub akimsaidia Zinho,captain Rai na msaidizi wake Dunga mwaka 1994
Silvinho,Man City ilimwacha yeye na kina Benjani Mwaruwari na Petrov msimu huu wa ligi ulipoanza,inasemekana karudi kwao Brazil,Kaba Diawara yupo Ufaransa anacheza daraja la pili huko,Boa Morte yupo West hammimi kama mpenzi wa gunners sintowasahau hawa.. arsenal ya 1999
Kaba Diawara
Silvinho
Ray Parlour
Emmanuel Petit
Luis Boa Morte
hao kwenye bold letters bado wanasakata kabumbu..? wako wapi?
Husseni Marsha
Marco Van Basten1. Pablo Aimar - Kabla Messi hajatokea huyu ndiye aliyekabidhiwa mikoba ya Maradona!
2. Austin Okocha - Pele alikiri kuwa huyu kiungo madoido ni balaa na atafanya makubwa!
3. Faustino Asprilla - Alitegemewa kutumia mapande ya Valderamma kutesa muda mrefu!
4. Comrade Companero - Bahati mbaya timu ya taifa lake ni kichwa cha mwendawazimu!
5. Giuseppe Signori - Serie A ilishuhudia magoli yake murua ila Azzuri haikumtumia vizuri!
6. Ronaldinho Gaucho - Umri bado unamruhusu ila ameshapoteza kasi, nguvu na ari zaidi!
Pato ni kweli amepotea.unajuwa haileti maana kumtaja mtu kama Ibracadabra ambaye kabeba ndoo akiwa na Ajax na juve na Inter, na Barca na sasa yuko kileleni na AC Milan huku akiwa katoka kuwanyuka mabingwa wa ulaya Inter.
iko siku mtakuja kuandika hata Pato pia kapotea.
Companero plz wasahihishe wachangiaji tafadhali.
Kuna watu wa kuwaweka humu kama kina Owen, Henry, Reyes, Gilberto, ryan Babel, overmars, edu...nk nk nk
Jack WilsherePaul Gasgoine 'Gazza' - Mabangi nibangue yalifanya kipaji chake kipotee kabla ya wakati!
Diego Armando Maradona - Madawa ya kulevya yalifanya tukose uhondo wake WC 1994!
Mpaka leo Dunia ya Soka haijawahi kupata jibu nini kingetokea kama Basten asingestaafu mapema kwa majeraha mabaya ya goti?Marco Van Basten