Vinara wa Soka Waliopotea Kabla ya Wakati Wao!

Hawa vijana wangu walidumu kwa mud amfupi sana kwenye timu za Simba na kufariki mapema pia:

1. Salehe Sonda 1. Zamoyoni Mogella (Mafundi Mchundo wa kutoka TC Arusha).

Zamoyoni? Au unamuongelea Method?
 
Dean Ashton aliyekuwa anachezea West Ham ya uk, nafikiri amestaafu akiwa 25yrs
 
Cuthbert Mwangalaba
Michael Paul
KUHUSU MICHAEL PAUL...... namkumbuka vizuri kwani wenzangu wengi walinifananisha naye kiuchezaji....some called me MASHA, IDD SELEMANI,CHINA,NICO KIONDO(the time akiwa kilimanjaro hotel)JUJUMAN,MATHEMATICIAN/MATHEMATICS(ndipo hasa asili ya jina nitumialo humu jamvini)..... AND MANY MORE
 
Mmemsahau Daniel Amokachi. Huyu maumivu ya goti yalimfanya aachane na soka mapema pale Super Eagles. Mwingine ni Antonio Reyes, Wenger alimtoa Spain alipovuma Real Madrid wakamchukua, sijui kapotelea wapi (yanaweza kumkuta hata Fabregas asipotulia), pia wapo kina

Alexander Hleb- Arsenal to Barcelona to VB Stutgart kama sikosei sasa kaamua kurudi England.
 
1. Pablo Aimar - Kabla Messi hajatokea huyu ndiye aliyekabidhiwa mikoba ya Maradona!
2. Austin Okocha - Pele alikiri kuwa huyu kiungo madoido ni balaa na atafanya makubwa!
3. Faustino Asprilla - Alitegemewa kutumia mapande ya Valderamma kutesa muda mrefu!
4. Comrade Companero - Bahati mbaya timu ya taifa lake ni kichwa cha mwendawazimu!
5. Giuseppe Signori - Serie A ilishuhudia magoli yake murua ila Azzuri haikumtumia vizuri!
6. Ronaldinho Gaucho - Umri bado unamruhusu ila ameshapoteza kasi, nguvu na ari zaidi!
mkuu

naona sprilla, signori and okocha naona walishafika 30s... na hata aimar had passed that ingawa bado anatesa sana portugal

kuna akina dean (beki wa totenham aliyelazimika kuacha soka sababu ya infection ya sikio pia he was not over 28 if i am not mistaken
 
Hawa vijana wangu walidumu kwa mud amfupi sana kwenye timu za Simba na kufariki mapema pia:

1. Salehe Sonda 1. Method Mogella (Mafundi Mchundo wa kutoka TC Arusha).

mkuu sonda yupi huyu? ninayemjua mimi alikua Tambaza 1988-91 na hakuwa mchezaji bali mabange tu
 
kuhusu michael paul...... Namkumbuka vizuri kwani wenzangu wengi walinifananisha naye kiuchezaji....some called me masha, idd selemani,china,nico kiondo(the time akiwa kilimanjaro hotel)jujuman,mathematician/mathematics(ndipo hasa asili ya jina nitumialo humu jamvini)..... And many more

mkuu unaonekana ni mwana msimbazi damu maana wengi uliowaposti wa kutoka mtaa wetu wa msimbazi

kwangu mimi
athumani machepe
lubigisa madata lubigisa(mtoto)
maalim salehe(romario) huyu alikuwa mkali kuliko nonda papii pale jangwani enzi zile 1996
madope mwingira
freddy adu(mghana aliyeenda usa na kudhaniwa ni pele mpya)
francis jeffers
santiago solari
jermaine pennant
jeremie alliadiere
eric djemba-djemba alidhaniwa kuwa mrithi wa roy keane
shaun wright- phillips
mateja kezman
 
Tumkumbuke Mohamed Kalon Wa aliyecheza Millan na Monaco, bonge la mchezaji aliyepotea kiajabu ajabu.

MARIO JARDEL- Mbrazil huyu mtambo wa mabao ambao haeleweki yuko wapi, enzi zake na Galatasaray.

Carstern Lamelow- mjerumani huyu na kiungo mahiri wa Bayer Reverkusen, mara ya Mwisho alilimwa Red ktk final na Real Madrid. Pia Orville Neuville japo yeye alitesa kidogo.

Tresor Romana Lua Lua winga huyu tereza wa kikongo ambaye alibaniwa sana pale Newcastle enzi za Allan Shearer.

Momo Sissoko- kiungo wa nguvu huyu ambaye alicheza Livepool na baadaye Juventus Turin lakini bado ameboa huko.

Thomas Gravesen and Southgate hawa wote walingara kwa muda mfupi na hasa Southgate alicheza mpaka Real Madrid lakini wapi.

Tal Ben Haim, Robert Huth na Khalid Bellarhouz mabeki hawa waliosifika na Pia Djalminha Mbrazil huyu wa Desportivo la Coruna haieleweki yu wapi.

Pius Ndief wa Cameroon enzi hzo akicheza klabu ya Sedan, pia Modesta Mbami na Baadaye Eric Djemba Djemba (Man U)

Abel Xavier mmatumbi wa Ureno, Gift Kampamba wa Zambia, Siyabonga Nomvette, Sibuziso Zuma wa Bafana,

Vagner Love, Cicinho na Felipe Melo wa Brazil.

Na hapa Bongo walikwepo kina
Peter Louis a.k.a Brazil, Hemedi Matobango, Mengi matunda, Issa Manofu, Ibrahim Kisungura, Aziz Hunter, Wilfred Kidau na Makoye Efrahim.

Pia walikwepo kina John Tindwa, Omari Mswaki, Shomari Abuchwaka, Alli Yusuph 'Tigana', Abdallah Sabebe wa Coastal Union, Anwar awadh wa Yanga na etc.
 
1. Pablo Aimar - Kabla Messi hajatokea huyu ndiye aliyekabidhiwa mikoba ya Maradona!
2. Austin Okocha - Pele alikiri kuwa huyu kiungo madoido ni balaa na atafanya makubwa!
3. Faustino Asprilla - Alitegemewa kutumia mapande ya Valderamma kutesa muda mrefu!
4. Comrade Companero - Bahati mbaya timu ya taifa lake ni kichwa cha mwendawazimu!
5. Giuseppe Signori - Serie A ilishuhudia magoli yake murua ila Azzuri haikumtumia vizuri!
6. Ronaldinho Gaucho - Umri bado unamruhusu ila ameshapoteza kasi, nguvu na ari zaidi!

Gauco yupi?
Au wa mburahati?
Kama ni yule wa Ac Milan naomba umfute mkuu.
yule ni kama juwa, sometimes unaweza usilione, lakini penye ukweli pakifika cha moto utakiona
 
16.Fernando Redondo,jamaa alitoka Real Madrid akaenda AC Milan.Na kama kawaida yao Milan wakaua kipaji adimu ambacho dunia imewahi kukiona.The guy was very skilled and stylish,a real playmaker!!

Milan kawaida yao ni kusajili wachezaji wenye majina makubwa na kishs kubeba makombe...
Forza Milan
 
unajuwa haileti maana kumtaja mtu kama Ibracadabra ambaye kabeba ndoo akiwa na Ajax na juve na Inter, na Barca na sasa yuko kileleni na AC Milan huku akiwa katoka kuwanyuka mabingwa wa ulaya Inter.

iko siku mtakuja kuandika hata Pato pia kapotea.
Companero plz wasahihishe wachangiaji tafadhali.

Kuna watu wa kuwaweka humu kama kina Owen, Henry, Reyes, Gilberto, ryan Babel, overmars, edu...nk nk nk
 
Tumkumbuke Mohamed Kalon Wa aliyecheza Millan na Monaco, bonge la mchezaji aliyepotea kiajabu ajabu.

MARIO JARDEL- Mbrazil huyu mtambo wa mabao ambao haeleweki yuko wapi, enzi zake na Galatasaray.

Carstern Lamelow- mjerumani huyu na kiungo mahiri wa Bayer Reverkusen, mara ya Mwisho alilimwa Red ktk final na Real Madrid. Pia Orville Neuville japo yeye alitesa kidogo.

Tresor Romana Lua Lua winga huyu tereza wa kikongo ambaye alibaniwa sana pale Newcastle enzi za Allan Shearer.

Momo Sissoko- kiungo wa nguvu huyu ambaye alicheza Livepool na baadaye Juventus Turin lakini bado ameboa huko.

Thomas Gravesen and Southgate hawa wote walingara kwa muda mfupi na hasa Southgate alicheza mpaka Real Madrid lakini wapi.

Tal Ben Haim, Robert Huth na Khalid Bellarhouz mabeki hawa waliosifika na Pia Djalminha Mbrazil huyu wa Desportivo la Coruna haieleweki yu wapi.

Pius Ndief wa Cameroon enzi hzo akicheza klabu ya Sedan, pia Modesta Mbami na Baadaye Eric Djemba Djemba (Man U)

Abel Xavier mmatumbi wa Ureno, Gift Kampamba wa Zambia, Siyabonga Nomvette, Sibuziso Zuma wa Bafana,

Vagner Love, Cicinho na Felipe Melo wa Brazil.

Na hapa Bongo walikwepo kina
Peter Louis a.k.a Brazil, Hemedi Matobango, Mengi matunda, Issa Manofu, Ibrahim Kisungura, Aziz Hunter, Wilfred Kidau na Makoye Efrahim.

Pia walikwepo kina John Tindwa, Omari Mswaki, Shomari Abuchwaka, Alli Yusuph 'Tigana', Abdallah Sabebe wa Coastal Union, Anwar awadh wa Yanga na etc.

Kuna Saad Gadaffi huyu wa Libya ambaye alipotea japo kipaji kilikwepo.(may be Mali zilimlevya akaamua kuingia ktk admin wa Timu).

Pape bouba Diop, Alliou Cisse na Khalilou Fadiga (japo yeye ni hearts problems).

Henry Camara, Ilhan Mansiz muuaji wa Senegal. Mauro Camoranessi wa italia, Giovani Dos Santos wa Mexico, Wilson Oruma na Agahowa wa Nigeria,

Mamadou Bagayoko, Andrei voronin, Gaizka Mendieta, Nonda Shaaban 'Papii'

Allan Lennon, Mamadou Diarra, Thomas Rosiscky, Armand Traore,
 
Momo Sissoko- kiungo wa nguvu huyu ambaye alicheza Livepool na baadaye Juventus Turin lakini bado ameboa huko.

Thomas Gravesen and Southgate hawa wote walingara kwa muda mfupi na hasa Southgate alicheza mpaka Real Madrid lakini wapi.

.

nafikiri unamaanisha woodgate na sio southgate. woodgate ni mchezaji aliyepata mabalaa makubwa madrid na hata aliporudi england bado majeruhi yamemuandama
douthgate amecheza miaka yote england kwanza alichezea aston villa, kumbuka ndiye eliyekosa penati ya england na ujerumani kwenye euro '96, baadaye akahamia middlesborough alikocheza akawa kocha mchezaji kisha kocha kamili kabla ya kutimuliwa na sasa ni football analyst kwenye television ya skysports
 
Habari hii imenishitusha kidogo kwa sababu mimi ninavyojua miongoni mwao wamecheza kwa umri ambao mchezaji anakuwa kwenye hali ya uchezaji na baada ya hapo mwili hauwezi tena kuendana na kasi ya mpira. Lakini inategemea pia unafuatilia ligi zipi, maana kwa wale wanaofuatilia ligi ya uingereza tu hapo ni sawa. Lakini kwa wanofuatilia ligi nyingine nyingi basi utafahamu kuwa wachezaji wametumika kama ilivyostahili ispokuwa Van Basten ambaye sababu ya majeraha yalifupisha muda wake wa kucheza hata hivyo katika umri wa miaka 30. Kichekesho ni Mchezaji ULIMBOKA MWAKINGWE yeye amestaafu akiwa na umri wa miaka 25, kama ni kweli umri uonaonekana ni sahihi.


Lakini Pablo César Aimar bado anacheza kwa kiwango cha juu kabisa kwenye Club ya benifica akishirikiana na Javier Saviola, kama ilivyo kwa Gaucho ambaye pia ni mchezaji wa kudumu AC Milan. Kama unafuatilia kwa kina mambo ambayo yalimuweka kwenye wakati mbaya kocha wa Brazil -Dunga ni kumuacha Gaucho.

Ninaambatanisha vielelezo vya wachezaji husika kwa msaada wa wikipedia

Dunga alizihirisha kuwa kichwani mwake kuna uharo tu.
Gaucho ni kama Tembo.
Hata akonde vp hawezi kuwa kama Nyau...dunga sakala lile
 
malota soma...john makelele...itutu kigi...issa athuman.....damian mrisho...pondamali

Mkongwe tunataka wachezaji waliopotea ile hali bado wanahitajika.

Yaani kwa mfano leo hii Messi kilanga kimkute kisha atundike daruga.
Hao kina Issa Athuman unaowataja mbona wamecheza mpk mustach ukawa na mvi?
Hao wamestahafu kihalali.
Sitegemei tena kwa sasa mtu kuandika majina kama Paolo Maldini, Franco Baressi, cafu, albertini, na watu kama kina Costacurta.
 
nafikiri unamaanisha woodgate na sio southgate. woodgate ni mchezaji aliyepata mabalaa makubwa madrid na hata aliporudi england bado majeruhi yamemuandama
douthgate amecheza miaka yote england kwanza alichezea aston villa, kumbuka ndiye eliyekosa penati ya england na ujerumani kwenye euro '96, baadaye akahamia middlesborough alikocheza akawa kocha mchezaji kisha kocha kamili kabla ya kutimuliwa na sasa ni football analyst kwenye television ya skysports

yeah! Yeah Jonathan Woodgate... Naona na wewe umeniandikia baadaye Douthgate cheki juu... Haahaaa! Unawakumbuka Moses Chikwalakwala na Numba Mwila ( R.I.P)
 
Back
Top Bottom