Wasanii huwa wanaanza vzr lakini nadhani huwa wanabadilika kutokana na soko na aina ya mziki raia wanaoupenda,
Harmonize alianza na aiyola, matatizo,sina zote zinavutia,
Chibu ana nyimbo safi kabisa nitarejea, binadam wabaya, lala salama, je utanipenda? Hizi zinavutia, kinachowabadlisha ni soko
Harmonize alianza na aiyola, matatizo,sina zote zinavutia,
Chibu ana nyimbo safi kabisa nitarejea, binadam wabaya, lala salama, je utanipenda? Hizi zinavutia, kinachowabadlisha ni soko