Tp p1 xn mkuu coz maisha yanataka tuwe ivyoCn…sina
Mby…mbaya
Nzr…nzuri
Mimi mtu hanitumii msg ya aina hii nikaijibu , kwangu ni marufuku sms za kijinga hivi
Kuna mdada aliniandikia ...4neUna tuma sms kwa mtu ana jibu huku sms ikiwa imechanganyika na tuma neno hutu..
tyu _ tu
Jomoni_ jamani
xaxa_sasa
K_ okay
Vepe_vipi
Buana_ Bwana/Bana
Exn_Thanks
G9t_Goodnight
Poah_Poa
Share mengine yano kukera katika uandishi wa sms.....