Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,427
- 85,872
Chama dola kilichoshindwa kudhibiti rushwa hata kwa Wajumbe wake kimeibuka na mpango mkakati mpya wa kupata kura za Wajumbe kwa kutumia ndumba!
Maelezo kamili haya haya kwenye attachment.
Eti ndio CCM wanapiga kelele kudhibiti rushwa, wameshindwa rushwa wamehamia kwenye nyumba baada ya miaka 40!
Sasa wanategemea Rushwa, Polisi, Mahakama, TISS na wakaona haitoshi wakaamua kutumia ndumba.
Maelezo kamili haya haya kwenye attachment.
Eti ndio CCM wanapiga kelele kudhibiti rushwa, wameshindwa rushwa wamehamia kwenye nyumba baada ya miaka 40!
Sasa wanategemea Rushwa, Polisi, Mahakama, TISS na wakaona haitoshi wakaamua kutumia ndumba.