Uchaguzi 2020 Vimbwanga Chaguzi za CCM: Baada ya Rushwa wahamia kwenye uchawi

Inawezekana huyo ndio aliyeangusha huo mzigo.
Hicho chama ni hatari sana, unakumbuka Askofu Kakobe kabla hajawa compromised aliwahi kusema kuna watu wanaongoza chama kiuno ni kizito kwa mahirizi?
Ndipo walianza kumshughulikia maTRA
Hahahahaha wamefunga antennas
 
Back
Top Bottom