Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,486
- 86,003
- Thread starter
- #21
Hahahahaha wamefunga antennasInawezekana huyo ndio aliyeangusha huo mzigo.
Hicho chama ni hatari sana, unakumbuka Askofu Kakobe kabla hajawa compromised aliwahi kusema kuna watu wanaongoza chama kiuno ni kizito kwa mahirizi?
Ndipo walianza kumshughulikia maTRA