PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,522
- 13,110
Huo ndio ubinafsi umekusanya vingi vilevile huvitumii.Niligawiwa vyandarua kama tisa hivi vipo stoo
Huo ndio ubinafsi umekusanya vingi vilevile huvitumii.Niligawiwa vyandarua kama tisa hivi vipo stoo
Vile vyandarua tulivyopewa mwaka juzi vimeanza kuchanika(vimechoka)
Nlikuwa nauliza wahusika kuna uwezekano na mwaka huu tukapewa zawadi nyingine ya vyandarua kwa kila kaya?
NB: Siku hizi mbu wameongezeka sana kuliko enzi za jk
Kweli kabisa.Upo mkoa gani?
Mwaka jana pwani tumegaiwa tena.
Ni vyandarua vizuri sana kuliko hata vya mchina madukani.
Nnavyo toka vya mwaka juzi, ukiviona ni kama vimetoka juzi dukani, ni matunzo tu.
Kwetu hakuna mbu! Get to hell mazafantaHuo ndio ubinafsi umekusanya vingi vilevile huvitumii.